Mkuu kumbe unatembeza spana na huku, hawa mbwa wanatakiwa watupwe chini huko, kipara bila pesa hana tofauti na robertinhoNa bado mbuzi nyie, Mourinho amesema atakula sahani moja na nyinyi kwenye yale mashtaka yenu 150 mpaka ahakikishe mmeshuka daraja.
Wakati timu pinzani wanafanya mazoezi nyie michezaji yenu kina Doku inagombania dressing table na wake zao ijipake lipshineView attachment 3174874
Mkuu kumbe unatembeza spana na huku, hawa mbwa wanatakiwa watupwe chini huko, kipara bila pesa hana tofauti na robertinho


huku ni mara chache sana, inaweza pita mwaka mzima sijatembelea hili jukwaa, kuingia humu naona ni kumpa tu airtime Herzogg huyu jamaa inatakiwa tumuache ajiongeleshe humu peke yake na kujijibu mwenyewe


Ni kustay humbleTunastay humble au hatustay humble
Twende kwa mashika magongo ya Londoni tukatembeze spanner mkuu.huku ni mara chache sana, inaweza pita mwaka mzima sijatembelea hili jukwaa, kuingia humu naona ni kumpa tu airtime Herzogg huyu jamaa inatakiwa tumuache ajiongeleshe humu peke yake na kujijibu mwenyewe
![]()