Agustin kun Aguero
JF-Expert Member
- Mar 22, 2023
- 677
- 828
Hii mechi na ya madrid ni mechi moja yenye part 1 na 2.
Pattern ni ileile, mpira mwingi, pasi za kutosha ila output finyu huku wapinzani wanakua hatari zaidi kwenye game.
Naona another penalty shootout na ikifika huko we are doomed.
Pattern ni ileile, mpira mwingi, pasi za kutosha ila output finyu huku wapinzani wanakua hatari zaidi kwenye game.
Naona another penalty shootout na ikifika huko we are doomed.
nyie wenyewe man utd si mnamjua nafasi kama hizo Mainoo hakuachi