Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Mim sibishani na watu empty headed kama nyie ,kama huna hoja ,hujui football nenda hata Uzi WA kulana kimasiala ndio Akili yako inapoishia ,huku kwenye ulimwengu WA football tuachie wanaume ,hizi level sio zako ....unajiabishaWewe sio shabiki wa man city,
Narudia... Au mpira umeanza kushabikia mwaka gani,,
Acha unafiki.
Kama una 20yrs+ rudi Tim yako

"This is not news. Arsenal beating Man City for the first time after 12 losses is news" 

