Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Foden kama midifilder anahitaji kuwa mzuri kwenye ...
Kupiga cross ...
Kupiga mipira iliyokufa aisee ,sio mzuri kabisa foden ,baada ya kdb kutoka alipiga set piece 2 ,daaa mipira ilikuwa ya hovyo kabisa ,Kuna namna kdb anarisha mpira katikati either wajifunge au sisi tufunge ....foden hawezi ...
Penetration pass ,hiki kitu foden Bado hajakamilika vzuri,japo aliachia bonge la pass game ya Madrid kumpa Alvarez kufunga , foden anapenda kuturn na kurun na mpira kwenda kufunga ,ila kupiga pass ya kunyoooka Kwa striker Bado ....
Alvarez kivuli cha halaand Bado kinammeza ....
Kupiga cross ...
Kupiga mipira iliyokufa aisee ,sio mzuri kabisa foden ,baada ya kdb kutoka alipiga set piece 2 ,daaa mipira ilikuwa ya hovyo kabisa ,Kuna namna kdb anarisha mpira katikati either wajifunge au sisi tufunge ....foden hawezi ...
Penetration pass ,hiki kitu foden Bado hajakamilika vzuri,japo aliachia bonge la pass game ya Madrid kumpa Alvarez kufunga , foden anapenda kuturn na kurun na mpira kwenda kufunga ,ila kupiga pass ya kunyoooka Kwa striker Bado ....
Alvarez kivuli cha halaand Bado kinammeza ....

Ronaldo
"I've come to Saudi Arabia for a new challenge."

Pep Guardiola: "I think the job is done. I don't want to compare myself much less with Leo Messi, but there is an image of him in the World Cup that 'that's it, that's it'. No? Well, in this club I have to know that he is already there. 