Adipoz
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 527
- 459
Ngoja tuone maybe tunaweza kutoboa maana uefa nayo huwa haitabirik sometimez.Mim mwenyewe Sina hata wasiwasi na CL mwaka huu ,maana sijaona kikosi cha kutisha chenye morali kama mwaka Jana na juzi ...kiufupi mwaka wa pep kuchukua CL ilikuwa misimu miwili nyuma ...Kwa Sasa lazima atakuna upara Sana ...
Pep Guardiola: "He is a player for Bayern. I have no comments. At the end of the season we review all the cases.."