Smartkahn
JF-Expert Member
- Jun 22, 2020
- 888
- 1,486
The intelligence battle soft(see👁️ A vs hard power(kilo 1024mega bytes).
Mambo mengi muda mchache na-jumpstart to the conclusion, then tukipata wasaa tutarudi; intro, na dhima ya POWER.
HITIMISHO
Yote ya yote kilichotokea wakati wa uchaguzi ni vitendo ambavyo havikubariki katika jamii na alieamua na kuamuru taratibu zilizotumika pia hakubariki katika jamii... Hii ni kwa level ya kiraia na kitaifa... Ila linapokuja swala la maslahi mapana ya nchi(zingatia neno maslahi mapana ya nchi)
Ila katika level za ki-elite(international geopolitics point of view). Ni hatua mkakati makini katika ku-secure power, during power struggle endapo tu utajua nini unakipambania... (Hapa ndio utasikia kwa maslahi mapana ya taifa) haya maslahi yakiguswa.
Ndio utakuta watu wanapotea, wanatoweka haitajalisha wewe ni nani na unahadhi gani kama umeona kama ni kikwazo/tatizo kwenye hayo maslahi lazima ushughulikiwe labda usigundulike. USA wanasema kama itatakiwa dunia iangamizwe kwa masya marekani
Basi hawana budi kufanya hivyo.
Katika power struggle not always zinatumika njia zinazozingatia sheria, haki na ubinadamu, bali hata mbinu zingine hutumika kimkakati, na wakati zinatumika unahitajika umakini wa hari ya juu kuhakikisha hauachi nyayo/alama zako njia unayopita... Kwahiyo misimbo inatumika sana... iba lakini usikamatwe, Hapo ndio unagundua note ina pande tatu na sio mbili tena,(BANKNOTE)
Peace||amani iwe nawe ✌🏾
Achana na ule upande wa pili wa Shilingi(sarafu), noti 💵 inapande tatu ukiachana na zile mbili zinazofahamika.
Upande wa tatu wa noti una picha au alama iliyowekwa na kudezainiwa kwa ustadi wa hali Ya juu kiasi kwamba unaweza usiitambue hiyo alama au usijue kama kwenye noti flani kuna picha ya buibui maisha yako yote.
Na maranyingi hizi alama huwa hazieleweki ziko upande upi wa noti hiyo, alama nyingine ni mpaka uinamishe au uelekeze noti katika mwanga flani ndio zinadhihilika.
Sasa kila nchi ina Fedha yake na hizi alama kitaalamu; banknote...
Yaani katika level hii ya ma- elite(wee raia wa kawaida ukiingilia hii battle unaweza ukajikuta uko upande wa adui kama haitoshi unashilikiana na adui yako kujiangamiza wewe mwenyewe) mfano: kindaki ndaki wewe ni shabiki wa Simba ukiingia kichwa kichwa kwenye hii Derby utajikuta unashangilia kwa furaha zote pindi Yanga inavyomshushia mvua ya magoli 🖐️ Simba, utakumbuka net ukiwa katika dozi ya mseto.
Watu wengi kupitia haya matukio ni tumeingia kwenye mfumo ulioandaliwa kimkakati watu wamecheza na human psychology, wemetujeruhi kihisia harafu wanakua wanatutonesha hisia... Yaani hio hasira uliyonayo juu ya vyombo vya dola na serikali ni umepandikiziwa makusudi na waliolengwa(gvt) wanajitahidi kuto chomoa betri.
Kwa matukio yanayoendelea bila shaka ni mambo ya wakubwa na masrahi yao, na sisi raia kama watoto tukipata wadogo zetu tusitegemee majibu sahihi pindi tuulizapo eti Mama huyo mtoto umemtoa wapi!?
Mnaweza mkawa mmepata ajari mbaya na pengine sekunde chache baadae gari inaripuka wakati mzazi akipambana kijiokoa pale,! katika kurupshani za hapa na pale unakuta mtoto aliembeba mgongoni analilia pipi iliyosahaulika ndani ya gari.
Kiufupi speech ya kwanza ulikua ni ujumbe kwa ma-elite wenzao na ilitakiwa uende ukiwa na ujumbe mchungu(banknote), ila kwakua raia hatukuutambua msimbo huo na tunatumia hisia zilizojeruhiwa badala ya logic tukatoneshwa kihisia tukalipuka(hiki kitendo ni sawa sawa na kuwashangilia wapinzani) kwahiyo speech ili-back-fire na hii reaction ilitarajiwa na Master planners wa upinzani.
Speech ya pili ile ilikua ni kwaajili yetu sisi raia kwa level za kitaifa, tatizo waandaaji wa speech walikua wanawahi wapi sijui...wenzetu kina benjamax stickcat wakiwa 7Oct ukizipitia zile speech utafikili zimeshushwa na Arch angel.
Hii ni moja kwamba kuna pande mbili sisi tunapambana kubaki kule tuliko licha ya kuwa upande wa pili wanataka tuwe kwao...25%
Mbili kuna uwezekano kuna baadhi ya wezetu (G-officials)wanataka kuhamia upande wa pili hivyo wanashiriki kotekote na wamewezeshwa kimbinu kuhakikisha wanadhoofisha mfumo hadi usifae kiuweledi wanakata tawi walilokalia au wanatoboa mtubwi walioupanda ndani yake napindi jahazi linapozama wao wanakuja na back up plan yao. Double Agent... 50%
Tatu huenda kuna mpango wakupiga services MTAMBO/gari masuala ya ku-change oils Grease, brand new shockups,air & oil filter so on... So before that, inorder a boss to fund those maintenances dereva ni lazima a-make sure that, the car must real look in a bad condition... Ili pindi chombo kikisha karabatiwa kuonekana kweli kuna utofauti na kazi imefanyika haswa. Creates problem sell the solution...25%
Mambo mengi muda mchache na-jumpstart to the conclusion, then tukipata wasaa tutarudi; intro, na dhima ya POWER.
HITIMISHO
Yote ya yote kilichotokea wakati wa uchaguzi ni vitendo ambavyo havikubariki katika jamii na alieamua na kuamuru taratibu zilizotumika pia hakubariki katika jamii... Hii ni kwa level ya kiraia na kitaifa... Ila linapokuja swala la maslahi mapana ya nchi(zingatia neno maslahi mapana ya nchi)
Ila katika level za ki-elite(international geopolitics point of view). Ni hatua mkakati makini katika ku-secure power, during power struggle endapo tu utajua nini unakipambania... (Hapa ndio utasikia kwa maslahi mapana ya taifa) haya maslahi yakiguswa.
Ndio utakuta watu wanapotea, wanatoweka haitajalisha wewe ni nani na unahadhi gani kama umeona kama ni kikwazo/tatizo kwenye hayo maslahi lazima ushughulikiwe labda usigundulike. USA wanasema kama itatakiwa dunia iangamizwe kwa masya marekani
Basi hawana budi kufanya hivyo.
Katika power struggle not always zinatumika njia zinazozingatia sheria, haki na ubinadamu, bali hata mbinu zingine hutumika kimkakati, na wakati zinatumika unahitajika umakini wa hari ya juu kuhakikisha hauachi nyayo/alama zako njia unayopita... Kwahiyo misimbo inatumika sana... iba lakini usikamatwe, Hapo ndio unagundua note ina pande tatu na sio mbili tena,(BANKNOTE)
Peace||amani iwe nawe ✌🏾
Achana na ule upande wa pili wa Shilingi(sarafu), noti 💵 inapande tatu ukiachana na zile mbili zinazofahamika.
Upande wa tatu wa noti una picha au alama iliyowekwa na kudezainiwa kwa ustadi wa hali Ya juu kiasi kwamba unaweza usiitambue hiyo alama au usijue kama kwenye noti flani kuna picha ya buibui maisha yako yote.
Na maranyingi hizi alama huwa hazieleweki ziko upande upi wa noti hiyo, alama nyingine ni mpaka uinamishe au uelekeze noti katika mwanga flani ndio zinadhihilika.
Sasa kila nchi ina Fedha yake na hizi alama kitaalamu; banknote...
- Smartkahn
- upande
- Replies: 36
- Forum: Jamii Intelligence
Yaani katika level hii ya ma- elite(wee raia wa kawaida ukiingilia hii battle unaweza ukajikuta uko upande wa adui kama haitoshi unashilikiana na adui yako kujiangamiza wewe mwenyewe) mfano: kindaki ndaki wewe ni shabiki wa Simba ukiingia kichwa kichwa kwenye hii Derby utajikuta unashangilia kwa furaha zote pindi Yanga inavyomshushia mvua ya magoli 🖐️ Simba, utakumbuka net ukiwa katika dozi ya mseto.
Watu wengi kupitia haya matukio ni tumeingia kwenye mfumo ulioandaliwa kimkakati watu wamecheza na human psychology, wemetujeruhi kihisia harafu wanakua wanatutonesha hisia... Yaani hio hasira uliyonayo juu ya vyombo vya dola na serikali ni umepandikiziwa makusudi na waliolengwa(gvt) wanajitahidi kuto chomoa betri.
Kwa matukio yanayoendelea bila shaka ni mambo ya wakubwa na masrahi yao, na sisi raia kama watoto tukipata wadogo zetu tusitegemee majibu sahihi pindi tuulizapo eti Mama huyo mtoto umemtoa wapi!?
Mnaweza mkawa mmepata ajari mbaya na pengine sekunde chache baadae gari inaripuka wakati mzazi akipambana kijiokoa pale,! katika kurupshani za hapa na pale unakuta mtoto aliembeba mgongoni analilia pipi iliyosahaulika ndani ya gari.
Kiufupi speech ya kwanza ulikua ni ujumbe kwa ma-elite wenzao na ilitakiwa uende ukiwa na ujumbe mchungu(banknote), ila kwakua raia hatukuutambua msimbo huo na tunatumia hisia zilizojeruhiwa badala ya logic tukatoneshwa kihisia tukalipuka(hiki kitendo ni sawa sawa na kuwashangilia wapinzani) kwahiyo speech ili-back-fire na hii reaction ilitarajiwa na Master planners wa upinzani.
Speech ya pili ile ilikua ni kwaajili yetu sisi raia kwa level za kitaifa, tatizo waandaaji wa speech walikua wanawahi wapi sijui...wenzetu kina benjamax stickcat wakiwa 7Oct ukizipitia zile speech utafikili zimeshushwa na Arch angel.
Hii ni moja kwamba kuna pande mbili sisi tunapambana kubaki kule tuliko licha ya kuwa upande wa pili wanataka tuwe kwao...25%
Mbili kuna uwezekano kuna baadhi ya wezetu (G-officials)wanataka kuhamia upande wa pili hivyo wanashiriki kotekote na wamewezeshwa kimbinu kuhakikisha wanadhoofisha mfumo hadi usifae kiuweledi wanakata tawi walilokalia au wanatoboa mtubwi walioupanda ndani yake napindi jahazi linapozama wao wanakuja na back up plan yao. Double Agent... 50%
Tatu huenda kuna mpango wakupiga services MTAMBO/gari masuala ya ku-change oils Grease, brand new shockups,air & oil filter so on... So before that, inorder a boss to fund those maintenances dereva ni lazima a-make sure that, the car must real look in a bad condition... Ili pindi chombo kikisha karabatiwa kuonekana kweli kuna utofauti na kazi imefanyika haswa. Creates problem sell the solution...25%