The HSPs (Highly Sensitive Persons)


Hapo sijaelewa, ulikuwa na maana gani?
 
Kabla sijakujibu, wewe ni she au he?
 
Hawa watu ni waaminifu katika relation zao
 
Nina connect na unachosema
naweza kukaa alone hata wiki nzima
mradi niwe na tv na internet

nahisi most online junkies ndo hao hao hsps.....

sipendi kelele kabisa......na niko comfortable alone
 
Happiness in intelligent people
is the rarest thing I know. Qoute Hemingway.
 
Ndio wale wakujistukia na kuwatenga wenzaoo kisa mali na uzuri halafu wanasingizia am high sensitive person
 
Nina connect na unachosema
naweza kukaa alone hata wiki nzima
mradi niwe na tv na internet

nahisi most online junkies ndo hao hao hsps.....

sipendi kelele kabisa......na niko comfortable alone
Kumbe mbwembwe huwa ni za mitandaoni tu..
 
Hongera sna dada yng kwa kunionesha kitu ambacho nilichokuwa najiulza na kukitafuta kwa mda mrefu sna bila ya kupata majibu rasmin, kiukwli mimi ni miongoni mwa hao watu, na nilijitahidi sna kutaka kuepuka hii hali kitambo ila nimeshindwa kuiondosha, imefika mahali nimesema nibora niridhie kwa kile Mungu alicho nipa, ila wewe ndio umenipa moyo zai kwa kweli, nimeanza kutafuta na kusoma sehem tofatu ili nijue zaidi kuhusu HSP, naji proud sna kuwa kwenye hali hii, asante Mungu.​
 
Wapo ila ni adim san, kwani hata mimi najiona niko tofauti sna na wengine kutokana na tabia zangu, wengi wanao nijua wanasema ni mpole sna na sio mtu wa kujichanganya ingawa najairibu kuondohsa huo utofauti but mara nyingi nashindwa, muda mwingi napenda kuspend nikiwa peke angu, mimi niko nje ya Afrika, nimepata maswali mengi sna kwa watu ambao wamenizunguuka kutokana na hali yngu na kushindwa kuwajibu ingawa kuwa najitahidi kuconnect nao but sifit kivile.​
 
Asante. Ni muhimu kujijua wewe ni mtu wa aina gani.
 
Asante. Ni muhimu kujijua wewe ni mtu wa aina gani.
Hivi unawez kunisaidia kujua nini tufanye kwa watu wa aina km yetu HSP ili tujiongezee stability and confidence kwnye maisha yetu. Yaan natamni kushea hii imagination coz nilikuwa najikuta km vile niko peke angu wa aina km hii hapa dunian na ilikuw najishangaa sana kwa utofauti wangu, ila sasa kujua km kumbe wapo km mimi hat km ni kidogo, yani nimeanz pata motivation ya kujitokeza na kujisifia kulingan na nilivyo.​
 
Mimi naona kwanza ni kujikubali, jua kuwa uko tofauti kidogo na wengine na sio jambo unajifanyisha. Mfumo wa mwili wako ndivyo ulivyo na huwezi kuubadilisha. Nature imekupendelea zaidi.

Kitendo cha kujikubali tu kitakupa confidence. Hutapambana kuwa kama watu wengine. Kwanza hutoweza kuwa kama wengine, utaishia kuwa frustrated.

Watu sensitive wasiojikubali huishia kuwa na low self esteem (I struggled with this, I know what am talking about) kwa kuwa hujiona kuna kitu wamepungukiwa, na jamii huwaona ni waoga, wasiojiamini, watu wenye aibu na wanyonge kiujumla.

Jikubali, you are gifted.
 
Do I know you?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…