what is it for? Does it for all world leaders or only african leaders? Explanation plz
And to shed more light, of recent kumekuwa na claim kwamba Rais Bush wa Marekani afunguliwe na yeye mashtaka pale ICC kwa sababu of what the US army did in Afganistan and Iraq. hizo claims zimeletwa na some sort of an organization ingawa ICC haija-issue arrest warranty kwa ajili ya Bush. maybe sometime in the future he might be prosecuted you can never know but thats how it works its for everybody
Kaka hilo si kweli au umesahau akina Slobadan au nao ni weusi kwa ufupi viongozi wa kiafriika ni madikteta wa kutupwa wanauwa wananchi wao na kuna impunity katika viongozi wa kiafrika,kwa tabia walizonazo hawa viongozi wa kiafika za kulazimisha na kung'ang'ania madaraka hata wako tayari kuua raia wao kwa hila na ghiriba Hague itakuwa ndio mwisho wao,ebu angalia huyo Gagbo,Taylor, Bashir na hapo jirani yetu Kenya je unaona watu kama hao wanaonewa.what is it for? Does it for all world leaders or only african leaders? Explanation plz