The dirt paka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 371
- 66
Ndugu wanaJF tumekuwa tukiishi katika jamii tofautitofauti za KiTaNzania na kushuhudia mambo mengi mabaya na mazuri tukajitahidi kuyakemea yale mabaya kwamanufaa yakuwa na jamii yenye maadili.
Nami naandika uzi huu, eti wanawake wakichaga-wanapenda hela, wabahili, wauaji(wamachame), wakihaya-mal***, wauzaji, watanga-wanajua mapenzi, hawakai na mmoja,
wairinga-wavumilivu wachapa kazi, wanyamwezi-wajeuri, fitina, waswahili n.k, n.k.
Mimi tabia hii inanikera kummark mtu kwakabila lake program tasa. Tutazame watu kwaspecification, maana kila kabila inawasafi na wachafu na sio kupakaziana.
Ulimi ni kalamu ambayo huandika katika ubongo tuutumie vizuri katika globalised world.
Nami naandika uzi huu, eti wanawake wakichaga-wanapenda hela, wabahili, wauaji(wamachame), wakihaya-mal***, wauzaji, watanga-wanajua mapenzi, hawakai na mmoja,
wairinga-wavumilivu wachapa kazi, wanyamwezi-wajeuri, fitina, waswahili n.k, n.k.
Mimi tabia hii inanikera kummark mtu kwakabila lake program tasa. Tutazame watu kwaspecification, maana kila kabila inawasafi na wachafu na sio kupakaziana.
Ulimi ni kalamu ambayo huandika katika ubongo tuutumie vizuri katika globalised world.