The Game Afiwa na Baba yake Mzazi

The Game Afiwa na Baba yake Mzazi

ricktz

Member
Joined
Jun 25, 2016
Posts
20
Reaction score
11
05445f1e9e87bc68ef2219d4f1614640.jpg
Rapa wa miondoko ya HipHop nchini MarekaniThe Game amepata pigo baada ya kufiwa na baba yake mzazi aliyefahamika kama George Taylor. George Taylor amefariki akiwa na umri wa miaka 65.

Kutoka na taarifa zilizotolewa na tovuti maarufu nchini Marekani ya TMZ zinasema kuwa mzee huyo alikutwa amefariki ghafla na mmoja kati ya wanafamilia akiwa nyumbani kwake Apple Valley, Calif. Mwanafamilia huyo aliamua kuita majirani kisha kupiga simu polisi ambao walikuja kuuchukua mwili wa marehemu kuupeleka Hospitali kuuhifadhi. Mpaka sasa polisi hawajatoa sababu ambazo zimesababisha kifo cha mzee huyo.

Mahusiano ya The Game na Baba yake hayakuwa mazuri kwa muda mrefu kutokana na baba yake kumuacha The Game na mama yake akiwa na maiaka 7, kitu ambacho kilimpelekea mpaka Rapa huyo kuandika wimbo wa “Bloody Moon”.
.
Usiache kutembelea website yako pendwa ya [HASHTAG]#rickmediatz[/HASHTAG] kwa habari za [HASHTAG]#Burudani[/HASHTAG] kila siku.

WEKA COMMENT YA POLE HAPA CHINI
 
Back
Top Bottom