Obama jana kapigishwa kwata hapakua na teleprompter
sasa anadeki mazaga-zaga
angekua well informed na allegations angebishana na Romney, lakini kwasababu alibugia SIMBI bila kusoma, imekula kwake
to the contrast, you can't debate with the "liar".
Pamoja na kutokufanya vizuri kwenye debate jana, leo Obama alikuwa Wisconsin na umati wa watu kama 30,000+ ulikuwepo kumsilikiliza. Wanajua Mitt alikuwa anaongopa tu bila aibu jana!.
Romney ni mshenzi, kaniuzi kishenzi. Baadala ya kuongeea sera zake anakazana kumshambulia ndugu yetu Obama. Sasa mjaluo wetu yupo hali mbali. Tuunganishe nguvu jamani
Romney ni mshenzi, kaniuzi kishenzi. Baadala ya kuongeea sera zake anakazana kumshambulia ndugu yetu Obama. Sasa mjaluo wetu yupo hali mbali. Tuunganishe nguvu jamani