- Thread starter
- #21
Kumbe wewe uko kisiasa, kwa hiyo bora anayetetea ushoga kisa tu mwenyekiti wako ameshikiliwa kwa makosa aliyotenda? Sasa ndo mtajua JPM haogopi hao vibaraka wenuHii ni chai ya rangi!!!!!!!Mmeshikwa pabaya,mpaka kieleweke!Haiwezekani waliomuua Akwilina wamefutiwa mashitaka na DPP halafu akina Mbowe ambao ndio wahanga ndio wako jela!
Huu ni ufala wa hali ya juu