The European Parliament Resolution on Tanzania (2018/2969(RSP)) is all about LGBTI people

Inapokuja issue ya Utaifa huwa naungana na kila mtu na kila chama kinachotetea utaifa.

Ukweli ni kwamba wazungu wana hali mbaya sana kuhusu Bongo.ijapokuwa ni kweli kwamba nchi yangu haiko shwari bado .mambo yamebana.ila hii.haiwezi kuwa bei tosha kuacha uzalendo.tusidanganyane niko na hawa wazungu kwa miongo kadhaa.nilichojifunza ni kuwa hawajawahi toa msaada wa bure.Every the so called suport or grant,has an intrinsic price .trust me.time gone are those we as a Nation being treated as kids.wanaleta dolar milion 30 kama msaada unaoambatana na masharti ya kipumbavu halafau makampuni ya kwao yanachukua dolar27milion.zinazobaki Tanzania ni milion 3.

Bora nchi ikope tujue moja .kuliko msaada wenye kuondoa utaifa na utu .sasa mtu anataka kusaidia kwa mfano kwenye sector ya afya au elimu halafu anasema nchi ihalalishe usenge.yaani maana yake nchi yenyewe nayo iwe ya kisenge.

Tunashukuru tumegutuka kungali mapema.tuache unafiki.tutapitia kwenye haloi ngumu ila tutaadapt maisha yataendelea
...na kwanini upewe msaada wa bure
Unaongelea utaifa utaifa UPI huu wa watawala kuwaua na kuwafunga wanaowakosoa kubalini jamaa yenu mmempa cheo kilicho juu ya uwezo wake!
hatushangai mnaomshangilia maana hata Mugabe alikuwa na wapuuzi wengi wanaomshangilia bila kumwambia ukweli Nchi ilikufa mpaka wakawa wanatumia hela za Nchi nyingine tambueni hata kama kwa kumwambia ukweli mtawala wa hovyo utakosa V8 sawa muhimu Nchi ipone
 
Literally, mko side ya kutetea ushoga, siyo? Hata kama unaichukia serikali/chama - usijitoe fahamu kwa kiwango hicho mkuu. Maneno yenu yatakuja kuwasuta siku moja!
Msihamishe magoli mnawadanganya watu
kwamba wazungu wanataka kuwanyoosha sababu ya ushoga semeni na zile zingine za kuua watu
 
Soberly, ni wakati huo huo Kikwete aliambiwa ni dhaifu! Nilisikia wabunge wakisema wanammiss, Kikwete alipokwenda kushuhudia kuapishwa mkewe. Hiyo ilikuwa halali. Kumbuka ndo wakati posho za wabunge zilifikia laki 3! Bahasha Bungeni zilikuwa zinatembea kama hewa tunayovuta. IGP Mahita akiwatetea askari aliwahi kuwaambia wabunge kwamba posho yao ya siku ndo mshahara wao kwa mwezi. Akaambiwa ataitwa bungeni kujieleza. Ukisoma novel ya UHURU, utaelewa kwa nini mfungwa humsifu askari mzembe gerezani.

..Wapinzani walisema JK ni dhaifu dhidi ya wakwepa kodi, mafisadi, na mambo mengine ya aina hiyo.

..Ni makosa kuamini kwamba wapinzani wakim-challenge Kikwete atumie vyombo vya dola au mahakama dhidi yao.

..Ni makosa kuamini kwamba wapinzani walikuwa wanatamani washambuliwe kwa machine guns kama Tundu Lissu ndiyo wa-appreciate kwamba tuna kiongozi imara.
 
..Wapinzani walisema JK ni dhaifu dhidi ya wakwepa kodi, mafisadi, na mambo mengine ya aina hiyo.

..Ni makosa kuamini kwamba wapinzani wakim-challenge Kikwete atumie vyombo vya dola au mahakama dhidi yao.

..Ni makosa kuamini kwamba wapinzani walikuwa wanatamani washambuliwe kwa machine guns kama Tundu Lissu ndiyo wa-appreciate kwamba tuna kiongozi imara.
Najadiliana nawe kwa kuamini uko impartial. Tuulizane kwa nini suala la Tundu Lissu liwe kubwa kuliko la Ulimboka ambalo asubuhi yake waziri Mkuu alisema Bungeni, liwalo na liwe! NI kwa sababu tunaona wanasiasa ni muhimu kuliko madaktari? Kwa nini wapinzani walimvumilia Mramba akitueleza kwamba hata tule nyasi, ndege itanunuliwa. Sitaki kutaja mengine ambayo hatukupata majibu na hatukuwahi kuwarushia watawala. Absalom Kibanda, je?

Kwa nini hatutaki kuvumilia na hata muathirika kumpa wajibu wake. Unawezaje kuamini kwamba hata dereva alikuwa anafichwa. Conspiracy ziko kote lakini hazitatuliki kwa rumors.
 
Najadiliana nawe kwa kuamini uko impartial. Tuulizane kwa nini suala la Tundu Lissu liwe kubwa kuliko la Ulimboka ambalo asubuhi yake waziri Mkuu alisema Bungeni, liwalo na liwe! NI kwa sababu tunaona wanasiasa ni muhimu kuliko madaktari? Kwa nini wapinzani walimvumilia Mramba akitueleza kwamba hata tule nyasi, ndege itanunuliwa. Sitaki kutaja mengine ambayo hatukupata majibu na hatukuwahi kuwarushia watawala. Absalom Kibanda, je?

Kwa nini hatutaki kuvumilia na hata muathirika kumpa wajibu wake. Unawezaje kuamini kwamba hata dereva alikuwa anafichwa. Conspiracy ziko kote lakini hazitatuliki kwa rumors.

..Je, serekali imeomba popote[kenya, interpol,..] dereva akamatwe na kurudishwa Tanzania na kuhojiwa au kufunguliwa mashtaka?

..Kwanini serekali haijamhoji muathirika ambaye ni Tundu Lissu? Mbona amehojiwa na vyombo vya habari mara kadhaa lakini Polisi haifanyi taratibu zozote za kumhoji?

..Mbona serekali imeomba msaada wa Interpol ktk suala la Mo Ibrahim lakini siyo suala la Tundu Lissu?
 
..Je, serekali imeomba popote[kenya, interpol,..] dereva akamatwe na kurudishwa Tanzania na kuhojiwa au kufunguliwa mashtaka?

..Kwanini serekali haijamhoji muathirika ambaye ni Tundu Lissu? Mbona amehojiwa na vyombo vya habari mara kadhaa lakini Polisi haifanyi taratibu zozote za kumhoji?

..Mbona serekali imeomba msaada wa Interpol ktk suala la Mo Ibrahim lakini siyo suala la Tundu Lissu?
Hiyo ni kama tunaipangia serikali mtindo wa utendaji. Leo hii US wanajiuliza matendo ya Trump angekuwa Obama au Bush, angekwisha ondoka.

Mengi yanachukuliwa tofauti serikalini, na binafsi sielewi kwa nini, lakini hiyo haitoshi kufanya extrapolation na kupata jibu lisiloaminika. Ni bora wote tusema hatujui. Tatizo letu kuna watu hawako tayari kusema hawajui.

Lakini, Huyu Lissu, hata CHADEMA wanastahili kulaumiwa kwa kile mtaani tunaita 'nyodo' Waliiondoa serikali ktk mambo yote yanayomuhusu Lissu. Wakajidai wana intelijensia yao na kujiamini wakati walitegemea madaktari wa Kenya. Kweli CHADEMA ni rafiki wa serikali ya Kenya kuliko serikali ya TZ ingeweza kuwasiliana na serikali ya Kenya? Mchawi mpe mtoto alee. Wangemuachia serikali jukumu hilo ili lawama ziwe za kweli.
 
In case you don't get it LGBTI stands for *LESBIAN, GAY, BISEXUAL, TRANSGENDER & INTERSEX PEOPLE*

Yaani kwa kiswahili Ni *Maazimio ya Umoja wa Ulaya kwa Tanzania kuhusu WASAGAJI, MASHOGA, NGONO ZA JINSI MOJA, NA WATU WENYE MAUMBILE ZAIDI YA AINA MOJA*

*Daniel Sarungi*
Mzalendo

Team, I have gone through the resolution and all it's references including the OHCR of November 2, 2018 the LGBT Toolkit, ACHPR and 'Cotonou Agreement (ACP-EU) which include Africa, Caribbean and Pacific Group of states and Tanzania signed it (only Cuba did not sign)

I have also gone through the newsfeed and Tanzania Constitution I have found the following;

The statements from the EU can be regarded as directions, commands or instructions that Tanzania MUST comply, but because they don't have such a power to a Sovereign state then automatically their instructions can be defined as a threat for Tanzania in exchange to relation among EU and Tanzania. In other hand it is clear that EU has Blackmailed Tanzania.

I have realise that EU have been filled with hatred and false information for the benefits of informers

Due to that I will respond to several agendas as follows:

1. Deteriorating political situation by shrinking the public space through tightening of restrictions on activities of Civil Society Organizations and Human rights defenders

My Response:
Firstly I would like to remind EU that Tanzania is still and will always be home/hub for Human right defenders from other countries to come and rest while proceeding with their peace of mind. We both know that.

All Civil Organisations in Tanzania have registered as per the rules and regulations of the country,

It happens many times when an organization is not doing what it was registered for, instead it is *operating its hidden agendas* to disrupt peace among the community with the umbrella of Human rights, Clearly that's illegal concern. It is our hope that these CSOs now start by helping the communities through access to facilities.

2. PAUL MAKONDA ends his provication against LGBTI

My response:
That was already responded by government on 4th November 2018

3. Independent Investigation

My response:
In EU when a police initially record an offense as HOMICIDE it remains CLASSIFIED to as many years as possible unless the Police or Courts decide that a lesser offense or no longer recorded.

In UK for example, the *year 2017 more than 719 deaths were recorded as Classified* (refer to crime and justice, at the Office for National Statistics)

And investigation can undertake even more than 10 years, we have seen the same with UK. What makes you think that Tanzania have failed to investigate such deaths?

In Tanzania, all cases are being investigated and have positive progress. Next time you should at least request an official update from the Court/Police regarding the status.

4. The Cotonou Agreement

My Response:

The Cotonou agreement signed in Cotonou for 20 years since 2000 - 2020 with a room to review every 5 years.

The agreement based on three pillars
1) Development Cooperation
2) Political Cooperation
3) Economic and trade cooperation (this ended 2007)

There is no any single place in agreement where explains or have mentioned LGBTI

5. Tanzania to repeal laws criminalising homosexuality

My Response
Apart from the technology impact and the age of new era, we as Tanzanians have our core values. The values and culture we believed in are still the same we believe in today.
*"Hatuwezi kuruhusu Ushoga kwenye Katiba"*
Homosexual is not a human right however LGBTI people deserve respect and equal rights, yes but allowing it openly to community that's not our culture.

7. Cyber crime act to Guarantee freedom

My response
*Freedom without law is a war*. Let me remind EU that there is freedom and there is insulting, one of them is not a Human Right. The Court will decide what's an insult and what's a freedom


8. President Magufuli's statement that Girls who give birth should not be allowed to return to school.

My Response:
You misquoted the President. Education is a human right. People get education in many ways.

The Government decided to pay school fees to all students in Government Schools so they can get their right to education.
When it comes any of them gets a pregnancy, she will not return to government school but she has a room for Private schools after giving birth, she cannot return to the same school due to psychological reasons. she can even join with Vocal Education and Training Authority (VETA). This is how it was since the earlier ages of this Nation.

9. Release Political Prisoners

My Response:
All people are equal before the law. Being an opposition doesn't give you an immunity when it comes to state laws.

Political Prisoners (as per EU), will be released as per laws and regulations of the country. The Judiciary is a separate entity and doesn't work under pressure.

The rule of law, once in the Court, the government cannot intervene

I'm wondering where the EU get that confidence to come up with such resolution, I conclude as bad Intel comes from those that they decide to aside with.

hata muandike juu ya mawe...nipo na US and EU kwenye haki za binaadamu!

I dont care about ushoga or whatever the f.uck that is..no one cares what's that stupidity,nimeona Haki za Binadamu only,hapo ndipo kwangu!

EU and US njoo mnyoroshe hizi takataka!

Haki za Binadamu trumps everything else!

Jiwe should be kept in check!

Kagame mwenyewe kaufyata sembuse jiwe his minion?

Hebu wapeni wanadamu haki zao!
 
Hiyo ni kama tunaipangia serikali mtindo wa utendaji. Leo hii US wanajiuliza matendo ya Trump angekuwa Obama au Bush, angekwisha ondoka.

Mengi yanachukuliwa tofauti serikalini, na binafsi sielewi kwa nini, lakini hiyo haitoshi kufanya extrapolation na kupata jibu lisiloaminika. Ni bora wote tusema hatujui. Tatizo letu kuna watu hawako tayari kusema hawajui.

Lakini, Huyu Lissu, hata CHADEMA wanastahili kulaumiwa kwa kile mtaani tunaita 'nyodo' Waliiondoa serikali ktk mambo yote yanayomuhusu Lissu. Wakajidai wana intelijensia yao na kujiamini wakati walitegemea madaktari wa Kenya. Kweli CHADEMA ni rafiki wa serikali ya Kenya kuliko serikali ya TZ ingeweza kuwasiliana na serikali ya Kenya? Mchawi mpe mtoto alee. Wangemuachia serikali jukumu hilo ili lawama ziwe za kweli.

..unakosea unapochukulia suala hili kuwa la serekali vs cdm.

..Polisi hawana justification yoyote ile ya kushindwa kushindwa kuchunguza.

..Makamu wa Raisi aliweza kufika kumuona Tundu Lissu hospitali, kwanini maofisa wetu wa Polisi wameshindwa kumfikia au hata kutafuta namna ya kufanya kazi na jeshi la polisi la Kenya au Interpol?

..hizo unazoita "nyodo" kwamba Lissu na Cdm hawaamini serekali na jeshi la Polisi ni mambo ya kuyasikitikia.

..Jeshi la Polisi, viongozi na makamanda wake, wanapaswa kuona AIBU kwamba hawaaminiwi na chama kikubwa cha siasa kama CDM.

..Jeshi la Polisi lilipaswa kufanya kila jitihada kwanza kutambua wamekosea wapi mpaka wakawa hawaaminiki, na zaidi kuchukua hatua kubadilisha hali hiyo.
 
I guess Mahiga is copying . but as you said it is all about kundulisim. People want to be kundulized. I have been watching the Tanzania terend of economic development the whole world is surprised.. We have managed to create good systems now EU is using available loopholes to Make Sure magufuli is not going anywhere. Let us wait and see.
 
I guess Mahiga is copying . but as you said it is all about kundulisim. People want to be kundulized. I have been watching the Tanzania terend of economic development the whole world is surprised.. We have managed to create good systems now EU is using available loopholes to Make Sure magufuli is not going anywhere. Let us wait and see.
Kwangu mimi kiongozi hata afanye nini lakini kama ni muuaji, mtekaji, mtesaji, anagandamiza uhuru wa watu, hataki mawazo ya watu wengine, anagandamiza uhuru wa taasisi nyingine za kiutawala, huyo mtu hafai na hana msaada kwa Taifa. Huyo mtu ni primitive. Haelewi kwa nini tunatengeneza na kuboresha huduma.

Hivi ukitengeneza vituo vya afya vizuri halafu wanaotakiwa kutibiwa kwenye hivyo vituo, unawaua, unawajeruhi, unawafunga bila makosa, unawazuia, hivyo vituo vya afya vina faida gani kwao?


Hivi kwa nini tuliwaomdoa wakoloni? Hivi tungewataka wakoloni watujengee barabara wangeshindwa? Tungetaka wanunue ndege wangeshindwa?

Tulipigana kwaajili ya kupata uhuru wa fikra, uhuru wa maumuzi, uhuru wa kuhoji, haki ya kutambuliwa kuwa sisi sote ni binadamu sawa japo kuna tofauti za madaraka, vipato, umri, n.k.

Hata kama tutawasema na kuwachukia wazungu, hiyo haibadilishi ukweli kuwa serikali ya awamu hii imeongoza kwa ugandamizaji kuliko serikali zote tulizowahi kuwa nazo. Tuongelee zaidi yale ambayo yametendwa na serikali dhidi ya raia wake, yaliyo kinyume na katiba yetu wenyewe. Katiba yetu hii ni ya kwetu, siyo ya wazungu. Kwa nini Rais anakiuka? Kwa nini serikali inakiuka? Tusikimbilie kuongelea ushoga tu, tujadili na haya mengine ambayo serikali ya JPM imeshutumiwa kutenda.

Wanaoitetea serikali kwenye maovu hawaisaidii serikali wala hawamsaidii Rais.
 
Umetaka moja tu!Hebu fikiri kuhusu uhuru wako na wangu we bwege!Unataka tuwe kama korea?
Unaongelea uhuru halafu hapo hapo unamwita mwenzako bwege kwasababu ana maoni tofauti tu na wewe! Wanafiki sana. Waacheni wasiotaka mambo ya kuoana wenyewe kwa wenyewe nao waongee.
 
Kwangu mimi kiongozi hata afanye nini lakini kama ni muuaji, mtekaji, mtesaji, anagandamiza uhuru wa watu, hataki mawazo ya watu wengine, anagandamiza uhuru wa taasisi nyingine za kiutawala, huyo mtu hafai na hana msaada kwa Taifa. Huyo mtu ni primitive. Haelewi kwa nini tunatengeneza na kuboresha huduma.

Hivi ukitengeneza vituo vya afya vizuri halafu wanaotakiwa kutibiwa kwenye hivyo vituo, unawaua, unawajeruhi, unawafunga bila makosa, unawazuia, hivyo vituo vya afya vina faida gani kwao?


Hivi kwa nini tuliwaomdoa wakoloni? Hivi tungewataka wakoloni watujengee barabara wangeshindwa? Tungetaka wanunue ndege wangeshindwa?

Tulipigana kwaajili ya kupata uhuru wa fikra, uhuru wa maumuzi, uhuru wa kuhoji, haki ya kutambuliwa kuwa sisi sote ni binadamu sawa japo kuna tofauti za madaraka, vipato, umri, n.k.

Hata kama tutawasema na kuwachukia wazungu, hiyo haibadilishi ukweli kuwa serikali ya awamu hii imeongoza kwa ugandamizaji kuliko serikali zote tulizowahi kuwa nazo. Tuongelee zaidi yale ambayo yametendwa na serikali dhidi ya raia wake, yaliyo kinyume na katiba yetu wenyewe. Katiba yetu hii ni ya kwetu, siyo ya wazungu. Kwa nini Rais anakiuka? Kwa nini serikali inakiuka? Tusikimbilie kuongelea ushoga tu, tujadili na haya mengine ambayo serikali ya JPM imeshutumiwa kutenda.

Wanaoitetea serikali kwenye maovu hawaisaidii serikali wala hawamsaidii Rais.
You doing the so called exaggeration .. How many people have been killed so far? How do you consider yourself victim while you are free to live you life as long as you don't disturb others and you don't break our norms? Don't accept anything brought by comers from Europe and the like.
 
Hivi issue kama ya Lissu ni classified???? Acha ushetani ewe kijana mdogo! Lissu kapigwa risasi sehemu yenye usalama mkubwa kuliko kawaida

Pembeni ya nyumba ya waziri na naibu spika!

Hebu kuwa muungwana kijana! Ever since police hata kutoa taarifa tu hawataki badala yake wanatuzuia tusimuombee makanisani

Halafu eti unatoa mifano ya UK

Hivi UK wanapiga wanasiasa risasi hovyo hovyo hivyo????

Independent Investigation mnaiogopa kwa niini? Kama hakuna anayehusika si mruhusu tu????

Umenichefua sana
So Lissu ni muhimu kuliko wewe ni mimi? Kuliko watz wanotaka maendeleo? Acha kukalili basi.. Likitokea moja hautakiwi kusimamabali kusonga mbele. Kwa hakili kama hizi za kwako ni rahisi sana mkoloni kurudi Tanzania na kutufanya watumwa afu ukaendelea kuchekelea tu. Wao wanafanyiziana afu mambo hayako kama sisi. Juzi ufaransa kafanya nini na hakuna hata neno? La Lissu waslisemea mbona la Ushoga hulisemei ama na wewe ni punga - Kama wewe ni punga usijibu uzi wangu utanitia agrrrrrrfurrrraghaaaaa
 
Back
Top Bottom