The English of President Magufuli of Tanzania

Dr shein amesoma natural science, sikiliza kiingereza chake, sijui jpm hiyo PhD aliifanyaje maana form 4 wa kawaida ni nafuu
Hapo ndo ujiulize halafu uone ni jinsi gani uko na mentality mbovu. Unsema hujui hiyo phd aliifanyaje? Hapo ndo ujue kwamba lugha sio reflection ya uwezo wa ubongo darasani. Darasani alifaulu vizuri ni kichwa Ndio maana kina elimu hiyo. Mnaongea bila kufikiri sijui kwanini. Huyo ni kichwa. Kwa umri wake bado anakumbuka mpaka definitions za mambo aliyoyasoma form one halafu bado unauliza hujui phd aliifanyaje? Aliyekudanganya kwamba lugha ni indicator ya IQ ni nani? Hivyo vichwa mmepewa lakini hamvitumii kabisa
 
Kama hakijui kwa nini ahangaike kukitumia?! Aongee lugha anayoimudu, na wakalimani watafanya kazi yao. Kwa jinsi hii analeta aibu tupu.
 
Umuhimu wa Kingereza ni nini?

Wewe unaishi dunia gani?.....Hata Dogo (Rais wa Korea Kaskazini) anazungumza Kingereza kwa ufasaha. Mwl. Nyerere, Tata Madiba, Robert G. Mugabe, Haile Selasie, Joseph Sinde Warioba, Pius Msekwa, Jenerali Ulimwengu n.k. hawa ni magwiji wa Kingereza. Ni vyema ungetafakari kwanza.
 
mpumbavu ni wewe na ukoo wako ni wewe mbembeleza kuuzakofia za lumumba. Kweli hajui iilikuwa ni aibu ikikuuma kunywa sumu au umsaidie. Eg am a politicians. Chezea weyeee! Here only job hapa kazi tu ahaaaaaaaa mm ni product ya st kayumba
What you write is a reflection of how you can think and analyse things. You need 15 years of more schooling before you can argue with me. Moron
 
Kiingereza ni muhimu kwa rais wa nchi ifananayo na Tanzania...pigeni kelele weee....mtukaneni mleta mada mpaka mlie lakini hiyo ni fact....na hata rais mwenyewe anajua.
Kila mtu ana weakness zake..hiyo kwa rais wetu wa sasa ni weakness pia.
Mnajiita wasomi mnashindwa kukubaliana na ukweli ulio wazi.
 
m
I managed to carefully listen to President Magufuli addressing the EAC head of States. His english is neither good nor bad but it can be better.

President Magufuli speaks SwahiEnglish, a language nowhere to find. As a matter of fact, President Magufuli needs a 6 month extra english lessons to catch up with his counterparts in the region.

I understand why he didn't attend the Davos Conference in Switzerland, the fear is enorm if you can't express or hold bilateral sessions with your colleagues in a language that yourself you don't manage.

I also understand why he invited all ambassadors to the state house yet he didn't appear. He ended hiding himself underneath of the state house tables elsewhere in the house.

His level of english communications is too low. This is another major blow for Tanzanians after Kikwete finding himself in the same situation in his presidency.


binafsi napata taabu sana kuwaelewa watanzania. hivi kiingereza ndio dawa ya matatizo ya watanzania?? kweli ukistaajabu ya paka utayaona ya panya buku. hebu muwe mnapost vitu vya maana vyenye kutujenga na si kuangalia kiingereza cha rais mbona wachina wanatumia lugha zao hata ugenini au hujui maana ya kuwepo kwa mtu anayeitwa mkalimani>
 
Siyo suala la matamshi tu,warusi hao wawili uliowataja wana tatizo kama la Magufuli kwenye "r"na "l",ambalo hubadilisha tafsiri ya neno husika,
kwenye ufasaha wa kiingereza hawapo!

Hili la "r"na "l" nakubali ni tatizo,lakini ufasaha si tatizo kwakuwa aliyefasaha atapata mantiki ya unachokiongea.
Tatizo siyo lafudhi, na kama ingekuwa ni lafudhi basi watu wala wasingejadili hapa, tatizo la Presidaa ni grammar, maana hata Museveni ana tatizo la accent lakin grammar yuko vizuri.
 
una akili ndogo sana kwa maana hiyo ni haki yako kuwaza hayo uwazayo
lugha ya mtu au watu sio kipimo cha akili wala utendaji kazi.
fananisha mafanikio yako na hao unao waona wanajua.

mwisho wa siku umemwelewa na ujumbe umefika
Wewe akili yako ni fupi.
Mleta mada hajahusisha uwezo wa kuzungumza English na Utendaji kazi wa Rais.
Sasa hayo we umeyatoa wapi...yeye ameona kuwa kiongozi wetu kiingereza chaki kinahitaji kuboreshwa..unatoka povu tu kama una kifafa.
 
Truth be told our president knows nothing he has a lot to learn including English he is taking us no where short and clear he is damn shit
Hii lugha yako mbona mbofu mbofu...he has a lot to learn including English....kiingereza cha hovyo kabisa,afu ww ndo unamshoonyea raisi kidole...you are, as dumb as a f**k
 
mpumbavu ni wewe na ukoo wako unaebembeleza kuuza kofia lumumba. Utakufa mtumwa choka mbaya. Jamaa hajui kunywa sumu au umsaidie kwan wewe hukuona???
Tatizo letu watanzania ni kutotambua majira Biblia inasema kila jambo na wakati wake.Kina wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna pia kuna wakati wa kulia na wakati wa kucheka pengine pia vitabu vingine vya dini vitakuwa na maneno yafananayo na hayo. Sasa sisi kila wakati kupanda(Siasa/Kampeni) mambo ya CCM vs UKAWA miaka 4 yanatakiwa yabaki ofisini kwao tu mwaka wa5 ndiyo tunakutana tena kwa hoja hii miaka 4 inatakiwa Lugha yetu sote iwe moja Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.Kila mmoja wetu akiwajibika kwa nafasi yake siku moja ukienda Sudan kusini au somalia ukute barabara imejengwa kwa hisani ya wa watu wa Tanzania and that's what my President believes.
I believe JPM words that Tz can be a donor country kama January 1.79trn kimsingi tunahitaji kufika 2trn per month kuwa na makusanyo ya 24trn kwa mwaka ambayo ni almost zaidi ya bajeti ya Tanzania kwa mwaka bila kusimama kwenye hizo forum.Tumpe heshima Rais wetu mpendwa tuache kutumika pasipo kujiuliza kwa faida ya nani?!!
 
Hatuba mara nyingi inaandikwa sasa atashindwaje hata kusoma acheni hizo bhana.
As far as my understanding is concerns nilivyomsikia akitamka baadhi ya maneno naweza conclude kwamba yuko vizuri tu labda iwe ni suala la Hotuba ambalo with time atakuwa vizuri tu unamlaumu vipi miezi 3 tu mtu ambaye haikuwa kawaida kuhutubia? Ni jambo la ajabu sana yaani unakuta Watanzania wanamlaumu JPM kwa vitu ambavyo kimsingi ni process.
.....hoja hapa si lawama....bali ukweli uliojidhihirisha kwenye hotuba yake(zake) za kiingereza...na hili si jambo la wakati huu wa urais wake bali limewahi kuzungumzwa humu JF kabla(na kuna watu waliweka hata clip humu)....hivyo unaposema analaumiwa eti miezi mitatu...hiyo si hoja na wala si lawama bali hali halisi....na ndo maana nasema ukweli usemwe.....kama ambavyo yeye mwenyewe JPM anapenda kusema ukweli....
....hoja ya lugha ya kiingereza kwa rais wetu ni ya msingi...na kwa kweli ili kujiweka huru ni vema akaamua tu kutumia kiswahili anapohutubia hata huko nje....na hili litamfanya rais wa kwanza taifa hili kufanya hivyo....na litaipa nafasi lugha yetu kujulikana zaidi nje....maana hata huko AU tayari wamepitisha kuwa kiswahili kiwe lugha mojawapo...sasa kama hili limezekana kwanini JPM asiamue tu kutumia kiswahili muda wote??....hili halitampunguzia kitu....na wala si aibu....bali aibu ni pale anapopata shida kutumia vocabulary za kiingereza anapohutubia....na hapa kejeli hazikwepeki....ni ushauri tu..najua anatusoma.....
 
Tuacheni majungu. Mwisho wa miaka yake mitano au kumi, hatutamwuliza kama alizungumza kingereza vizuri. Yeye afanye anachotakiwa kuwafanyia watanzania. Watanzania wote english ni 3rd or 4th language. Hata tunaojivuna tunajua english kama wanavyofanya wakenya, bado tunaongea kingereza kinachotofasiri kutoka kiswahili au lugha zetu za asili, tunafikiri hicho ndio kingereza sahihi?
Acha kujitetea magu hajui kiingereza
 
Asilimia kubwa ya mnaohoji English ya Magufuli kwanza nyie wenyewe hamjui pili hamjawahi toka nje ya nchi. Maana huko nje si kila mzungu anaongea English tena kwa Ulaya ni nchi chache sana. Hivi huyo Museveni anaongea English nzuri kweli? Acheni ushamba. Maana mimi naona anaongea English ya Kinyakore kabisa ....Hivi wahindi huongea English standard kweli? Ninachoona hapa watu bado mmelewa uchaguzi.......Ni wivu wa kike tu ndo unaowasumbua
Acha kujitetea ni ukweli kuwa kiingereza cha rais wetu mmmmmmmmm aibu
 
Freeland mie sio mwingeleza kama rais ndio maana does na do ni mgogoro! But that does not mean I'm useless like you! Point yangu ilikuwa wazi, do we miss anything by this guy (my president) having bad command of your English? He is delivering! That is all I need!
duh...usiless tena...hatareee
 
Really the President has limited English vocabularies! I am horrible on how is going work with an International forums!
"I am horrible on how is going work with an internstionaL forums". Ha ha ha...with this type of English (written for that matter) do you have the guts to correct our President's english??!! GO BACK TO SCHOOL.
 
Watu wanajitoa ufahamu na kuleta visingizio kibao, mara siyo lugha yetu, mara siyo kipimo cha uchapa kazi, mara wewe imekusaidia nini, mara mbona Putin naye hajui, mara bla bla, ni upuuzi tu. Ukweli utabakia pale pale kuws Rais ana tatizo la kiingereza, na kama ataendelea kuitumia hii lugha basi tutaendelea kuaabika tu. Bora awe anasoma hotuba za kiingereza au awe anatumia kiswahili tu. Halafu lazima watu watofautishe mtu aliyesoma kwa kiingereza mpaka PhD na wale wanaojifunza kwa ajili ya kuongeza lugha za kuwasiliana kama wakina Putin. Rais lazima alikubali tatizo na alifanyie kazi, ni aibu mtu aliyesoma mpaka PhD tena degree nyingine kasomea huko huko UK halafu eti akiwa anaongea na David Cameroon atumie mkalimani.
 
  • Thanks
Reactions: JGG
Hii ni lugha tu kama zilivyo lugha nyingine, tatizo ni pale unapojifanya unajua lugha ya mwenzio kumbe siyo. Ushauri ni vema kutoingiza lugha usiyoifahamu vizuri ktk hotuba au maelezo yoyote uwapo mbele ya wenye kuijua lugha hiyo vizuri. Kama litatokea iwe ktk utani. Na lisitokee kuwakwaza wenye lugha. Aakiswahili chetu mbn poa aongee swahili through out.
 
Back
Top Bottom