Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Ganbei!! China Embraces English Language
In an effort to promote internationalism, China is learning English.
In the next five years, all state employees younger than 40 will be required to master at least 1,000 English phrases, and all schools will begin teaching English in kindergarten. The government also is funding extensive teacher training programs to find new models for language learning and develop new textbooks.
Kwa ufahamisho tu Rais wa China anaongea English nzuri tu ila kwa sababu za kidiplomasia, kisiasa na kiutamaduni hafanyi hivyo kwenye hotuba zake ndani au nje ya nchi. Rais Magufuli naye angefanya hivyo hivyo...asiongee kwa lugha ambayo haijui, ndiyo hajui English, aongee Kiswahili ingawa na chenyewe ndio hivyo tena. Hakuna haja yoyote ya kubeza English, tutake tusitake ndiyo lugha ya dunia kama Kiswahili ilivyo lugha ya Tanzania.
Kwa ufahamisho tu Rais wa China anaongea English nzuri tu ila kwa sababu za kidiplomasia, kisiasa na kiutamaduni hafanyi hivyo kwenye hotuba zake ndani au nje ya nchi. Rais Magufuli naye angefanya hivyo hivyo...asiongee kwa lugha ambayo haijui, ndiyo hajui English, aongee Kiswahili ingawa na chenyewe ndio hivyo tena. Hakuna haja yoyote ya kubeza English, tutake tusitake ndiyo lugha ya dunia kama Kiswahili ilivyo lugha ya Tanzania.