mme wa mtu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 438
- 667
Kwenye sherehe za kumbukumbu ya kuzaliwa kwa ccm huko Singida tar 5/2/2016 alisema atahakikisha anafuta vyama vya upinzani nchini.
Kwa hali ya kisiasa nchini kwa sasa haiitaji elimu ya chuo kikuu kulibaini hilo kuwa Magufuli ni adui wa mfumo wa vyama vingi nchini.
Ukiangalia hizi chaguzi ndogo zilizopita pamoja na figisu zake kwa wapinzani unaiona kabisa dhamira mbaya na ovu ya magufuli dhidi ya vyama vya upinzani nchini.
Kwa hali ya kisiasa nchini kwa sasa haiitaji elimu ya chuo kikuu kulibaini hilo kuwa Magufuli ni adui wa mfumo wa vyama vingi nchini.
Ukiangalia hizi chaguzi ndogo zilizopita pamoja na figisu zake kwa wapinzani unaiona kabisa dhamira mbaya na ovu ya magufuli dhidi ya vyama vya upinzani nchini.