Crapist how r U?
Nafikiri tatizo la Tanesco lilikuwa la mkurugenzi mkuu (mtendaji mkuu) wa zamani...Idris Rashidi?
Vipi Tena tatizo la mkurugenzi mkuu William Mhando ligeuke kuwa JK?
Wakati alipokuwepo Idrisa lilikuwa la Idrisa? alipokuwepo William linageuka linakuwa la JK
Double standards at its highest...ndio yale yale mijadala inaishia kuwa ...ya kidini
Huyu William Mhando vipi? sisikie mkisema lolote...hodari sana mtu huyu au siyo?
Nyie bana mnaboa sana!
Nafikiri tatizo la Tanesco lilikuwa la mkurugenzi mkuu (mtendaji mkuu) wa zamani...Idris Rashidi?
Vipi Tena tatizo la mkurugenzi mkuu William Mhando ligeuke kuwa JK?
Wakati alipokuwepo Idrisa lilikuwa la Idrisa? alipokuwepo William linageuka linakuwa la JK
Double standards at its highest...ndio yale yale mijadala inaishia kuwa ...ya kidini
Huyu William Mhando vipi? sisikie mkisema lolote...hodari sana mtu huyu au siyo?
Nyie bana mnaboa sana!
Wakati mwingine kaka usichangie kwa kuangalia majina. umenitia aibu. dini imeingilianaje na topic hii.?
Kumbuka inaongelewa dowans, na kumbuka pia dowans ilikuwepo kipindi gani, then changie. Jamaa amejaribu not to hit around the bush. Unapotutajia akina Idrisa na akina Mhando bado unataka kuturudisha kulekule!!
Nafikiri wa kulaumiwa ni William Mhando mtendaji mkuu wa shirika?
Hili nafikiri linaendana na topic au vipi?
Huyu ni mteule wa Raisi Kikwete au sio?
hapa sisemi ki2 maana sijui ki2
Mkuu, hata hapa JF, Kikwete haguswi. Kuna mod kazi yake ni kupitia topic zote zinazomgusa Kikwete. Akiona zinamchora vibaya: basi anaziunganisha na zingine (za mwaka 2007), anazifuta, au anazihamisha kwenda jukwaa lingine. Ngoja tuone hii topic itakaa hapa kwa muda gani kabla haijahamishwa.
Kweli lakini anaweza kutoa msimamo wake au siyo?
Maana ndio mwenye access na infomation zote za kitaalamu?
Kama nilivyo msapoti Idrisa kwa kutaka inunuliwe (kitaalamu) nilitegemea na yeye angetusaidia otherwise?
Mbona yuko kama bubu..au ameshindwa kazi?
Nilisema kuwa mada yangu itafanyiwa zengwe na mod wa JF..... Naona yameshatokea tayari
Acha kulialia, grow up bana. Mada zako nyingi ni uzushi, hazina facts aka dataz.
Inasemekana pia hata hao majaji wa ICC ambao hukusanywa tu kutoka sehemu mbalimbali, wana 'cut' yao kubwa tu.
bwa ha ha ha ha, in your dreams mr fisadi wa ccm
bwa ha ha ha ha, you wish! grow up na acha uzushi period
Topical said:Nafikiri tatizo la Tanesco lilikuwa la mkurugenzi mkuu (mtendaji mkuu) wa zamani...Idris Rashidi?
Vipi Tena tatizo la mkurugenzi mkuu William Mhando ligeuke kuwa JK?
Wakati alipokuwepo Idrisa lilikuwa la Idrisa? alipokuwepo William linageuka linakuwa la JK
Double standards at its highest...ndio yale yale mijadala inaishia kuwa ...ya kidini
Huyu William Mhando vipi? sisikie mkisema lolote...hodari sana mtu huyu au siyo?
Nyie bana mnaboa sana!
Ndio kwa maswali yako yote.... na kisha baada ya hapo, anabanwa bosi wake --- Kikwete
Topical,
..we need to know, kati ya Mhando na Dr.Rashid, ni yupi alihusika na kuvunja mkataba.
..tatizo hili limekuwa sugu na ndiyo maana JK's intervention is needed.