Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 6,750
- 14,513
- Thread starter
- #21
I don’t know what you are on aboutUnaweza ukawa sahihi lakini pia usiwe sahihi. Vyote unazodhani uko sahihi zilifanyiwa tafiti na watu mbalimbali na kuziwekea framework kuwa ndiyo miongozo yenye uhalisia.
Pia, kuna watu wanaweza kuzifanyia tafiti kwa kuziboresha zaidi au kuzipa challenge na hatimae zikaonekana kuwa hazina uhalisia.
Rejea Law of Cooling iliyokuwa challenged na Mgamba kule Tanga, hivyo nakupa taadhari usione upo sahihi wakati wote na wengine hawapo sahihi.
Kuna wengine wanaweza kuwa sahihi kutokana na uhalisia wa mambo wanayokutana nayo katika mazingira na maisha yao ya kila siku.
Uwezi kuwa sahihi scientifically without enough experiment hata kwenye hiyo argument ya mgomba (you have to do enough tests for whatever you are argument to be accepted).
Mimi sina shida na academic arguments, hila nonsense ndio zinakera; mtu anaandika hoja ambazo hazina academic merit zozote halafu zinakuwa accepted huko sasa ndio kujazana ujinga.
Good morning, nita deal na hii mada baada ya kupumzika.