Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 22,465
- 32,992
Unamshabikia Malima?Inavyoonyesha nyinyi mnadhani aliuawa wakati alikufa kwa mapresha yake baada ya kutoka Mecca na kwenda London ambako alitaka kwenda kulipia Landrover 200 alizokuwa ameagiza,alipofika bank akakuta Kikwete ameshapita na kuchukua hela zote alizokuwa amewaibia Watanzania.
Unamshabikia Malima?Inavyoonyesha nyinyi mnadhani aliuawa wakati alikufa kwa mapresha yake baada ya kutoka Mecca na kwenda London ambako alitaka kwenda kulipia Landrover 200 alizokuwa ameagiza,alipofika bank akakuta Kikwete ameshapita na kuchukua hela zote alizokuwa amewaibia Watanzania.
Unamshabikia Malima?Inavyoonyesha nyinyi mnadhani aliuawa wakati alikufa kwa mapresha yake baada ya kutoka Mecca na kwenda London ambako alitaka kwenda kulipia Landrover 200 alizokuwa ameagiza,alipofika bank akakuta Kikwete ameshapita na kuchukua hela zote alizokuwa amewaibia Watanzania.
Mohamed Said mbona kila
uzi wako ni udini tu? Sidhani kama kukaa na kulalamika kuhusu dini
fulani imependelewa au dini fulani imeonewa kutaleta maendeleo yeyote
nchini. Au wewe ni katika wale wanao faidika na hela za Saudi
Arabia?
Usimsingizie Kikwete!
Ukweli ni kwamba alikufa kwa pressure baada ya kukuta account yake imekaushwa na mwanaye aliyemwamini na kumfanya signatory. Kipindi hicho mwanaye huyo alikuwa akisoma huko London na alikuwa na maisha ya anasa kupindukia ikiwa ni pamoja na kumiliki magari ya kifahari ambayo yalishangaza wengi wakati huo.
Unamshabikia Malima?Inavyoonyesha nyinyi mnadhani aliuawa wakati alikufa kwa mapresha yake baada ya kutoka Mecca na kwenda London ambako alitaka kwenda kulipia Landrover 200 alizokuwa ameagiza,alipofika bank akakuta Kikwete ameshapita na kuchukua hela zote alizokuwa amewaibia Watanzania.
Mkuu unaonaje ukiunganisha kitabu kizima then utuwekee hapa tuchote?? Wengine hatukuweza kufuatilia chapters 1 to 5.Wanajamvi,
Post ya mwisho ya Prof. Malima haikuondolewa na hii ndiyo sababu
iliyonitia moyo niweke post hii ambayo kwa muktadha wetu hapa ni
ya mwisho.
Hiki ni kitabu kizima...
Mkipenda tutaendelea na kumbukumbu za Malima Insha Allah.
Anafuata mafundisho ya Allah wa Boko Harama, Alqaeda and the likes
Mohamed said,Udini hautakusaidia sana.Wenzako katika alliance yenu walau wamefanikiwa kidogo kwa sababu walijali elimu.mmoja akawa mbunge na waziri ingawa karibuni aliishia kubaka binti aliyepaswa kumlea.
Mwingine ni mkurugenzi mtendaji wa shirika la umma,kwa udini wake analaumiwa kuajiri 90% waumini wa dini yake na ni ruksa kwa mfanyakazi kwenda ofisini na malapa.
Nanren,Mwanaye gani huyu, aliyezima wenzake mapesa na ku-fake kaibiwa pale Morogoro?
Hapana. Usimsingizie huyu brazamen.
Ukweli ni kuwa Serikali ya Mwinyi ndio ilimtuma Kikwete kwenda ku-freeze account yake. Hiyo ninakupa ni kwa uhakika asilimia 100. Hata Moh Said anajua haya, ila hawezi kuwashambulia Jakaya na Mwinyi, you can rightly guess why.