The issue is very simple.
Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini waafrika watanzania wasiutumie kwa nguvu zao zote wawazidi matajiri wakubwa duniani kama kina Elon musk, Jeff Bezos, Billgates, Warren Buffett n.k
Au huyo shetani na yeye pesa zake ni za kuunga unga?
Toeni makafara ya kutosha tuone kama mtaweza hata kumfikia Mo Dewji kwa utajiri.
Kwa nini muandikie mate na wino upo?
Kama kweli kwa hakika, Kuna utajiri wa kishetani kwa nini mtu hautumii kwa nguvu zake zote awazidi matajiri wakubwa duniani kina Elon musk?
Au basi angalau afikie level zao kwa huo utajiri wa kishetani.