Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,657
- 8,592
Kuwa na uhakika kabisa Rais wa Tanzania 2025-2030 atatoka CCM.CCM wao bado wako busy na mikakati ya wizi wa kura na kudhibiti wapinzani kutumia vyombo vya dola (POLICCM na UWT). Ila wanasahau kuwa huo mikakati una mwisho wake. Umefail Zambia, Malawi, Sudan.... Mikakati ya desidgn hiyo ina mwisho wake.