The Bold: Shukrani Wakuu

NOTE:- I'M WAITING FOR THE NEW THREAD.....BIG UP BRO...
 
Shukrani sana Mkuu Mshana Jr..
That means a lot.. Naheshimu sana mchango wako humu JF
 
Ongera sana Mkuu within one hour uzi umejaa comments namna hii, Ahsante kwa kushukru japokuwa najua ujaweza ku-tag wote lkn Shukrani zako tumezipokea.
 
Man yaani tangu ulipoanza kuandika makala zako umekuwa maarufu sana humu jf. Bahati mbaya kila uzi unaoweka humu nakutaga nimechelewa kuuona. Kwa sasa kila siku, kila baada ya masaa kadhaa lazima nichungulie kama umeweka uzi.

Napenda aina ya uandishi wako. Yaani hata ungekuwa mjinga wa kiwango cha juu akisoma lazima aelewe.
Keep it up mkuu.
Ukipata nafasi niwekee story ya jamaa mmoja akiitwa Abbuu Nidal.
 
Kiranga ni kichwa kikali sana..kila mtu anajua hili japo wachache wanaweza kulisema hili kwa uwazi..
The bold unajua kufafanua jambo lolote kwa ubora wa Hali ya juu sana..
Najua utapata madili ya kutosha..lakini usitusaau jf..mara moja moja unakuja jf nakutupa visa..maana mtambuzi nae alitutosa jf tukaikosa mikasa yake ya kesi zilizotikisa..barikiwa The bold
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…