Binafsi ningesema kuwa ni bora kabisa ulitumia muda wako vizuri "kuwinda tetere". Siyo kila aina ya elimu ina manufaa kwa mhusika.Baba aliniambia nisome, nikaone kuwinda tetere ni bora zaidi. Ona sasa leo hii nimeishia kuambulia JK tu.
Sasa watu wakajifunze Encryption na decoding; muda huo utapatikana wapi kama siyo kupotezeana malengo tu. And for what outcome?: “The birds will be flying high tomorrow.”
Caesar cipher seems to be used more than
Vigenère cipher
Continue Steganographying between RM and JK
Britanicca
Wewe umeelewa nini Mkuu katika uzi huu. Nimetoka kapa kapaniBritanicca ni kichwa ingine yupo smart na ni informer mzuri mwenye classified information siyo zile za kuokoteza okoteza
habari hizo zipo wapi sasa hapa kwenye hii mada. Tusaidie kuziona hizo taarifa.Britanicca ni kichwa ingine yupo smart na ni informer mzuri mwenye classified information siyo zile za kuokoteza okoteza
Hata mimi.Wewe umeelewa nini Mkuu katika uzi huu. Nimetoka kapa kapani
Anakuleta kwa njia ileile mkuu anayoitumIahabari hizo zipo wapi sasa hapa kwenye hii mada. Tusaidie kuziona hizo taarifa.
Cc Fanton Mahal Proved: “The birds will be flying high tomorrow.”
Caesar cipher seems to be used more than
Vigenère cipher
Continue Steganographying between RM and JK
Britanicca
Humu mnavituko aseeh. Ebu nenda hapo kwa mangi uagizie chochote nitapita baadae Na renji yangu kulipa.Rice and meat au?🤣🤣🤣🤣
Haha 😆Sasa watu wakajifunze Encryption na decoding; muda huo utapatikana wapi kama siyo kupotezeana malengo tu. And for what outcome?
Mr Q usipitwe huku.: “The birds will be flying high tomorrow.”
Caesar cipher seems to be used more than
Vigenère cipher
Continue Steganographying between RM and JK
Britanicca
Una maana "Njia ileile", kama inayotumiwa wenye maswala ya 'frontotemporal dementia'; au siyo?Anakuleta kwa njia ileile mkuu anayoitumIa