Mbona hatukaribishani hao kuku aise
Acha uchoyo bana
Mi nipo zangu Mtekenyo bar napiga kitu cha Castle Lager kama sina akili njema.
karibu sana Mr Rocky,mbona hatuonani mkuu?
Acha kujipatia sifa aisewe sio wa kualikwa kabisa, mi nmekuita huku kwa morombo uje kula mbusi hadi nmechoka sasa!