Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
kweli
aisee swahiba
waaaaaayyyy below the belt
mdahalo ushaingia sumu....nasepa kwanza.
kweli
aisee swahiba
waaaaaayyyy below the belt
Kama wewe umemchoka; jitahidi kufanya vituko bila kuwa abusive ili naye akichoke na aamue kubreak up; in that way lengo linatimia na mwenzio atajisikia vyema coz atajiona yeye kakuacha!
Nyingine ni umbali; husaidia sana break-ups
Ya mwisho ni kuambizana ukweli (l prefer this), inauma kwa muda lkn mwisho wa siku kinaeleweka!
Hilo la mwisho lugha yako huplay part kubwa; mfanye aamini issue sio yeye ni wewe; na unampenda enough not to continue hurt her/im na kwamba snadesreve a far better person than u etc!
dah.... swahiba haya mambow e acha tu
tumemalizana ila sasa badala ya friendship au hata basi respect, imekua uadue kama hatujawahi kutumia kijiko kimoja
sasa wewe moskito.............. niapologize for what??? kuachana nae, kuomba kazi pale au nini??
aisee, yani unazidi kuninyima mileage
Zamani kulikua na maushauri ya kumwaga,siku hizi ni matusi tu hehehehee.Kweli maisha yanabadilika
The best way is ghosting. Wote mnakaa kimya bilq closure au comments. Kila mtu anaendelea na maisha yake bila maelezo