Tulikuwa seminary pale moshi tunapelekwa kibosho galz na mapadre kwa debate only nikifika pale mbele nasahau hata na motion ilikuwa inasema nini, siunajua tulikuwa hatuna hata mwalimu mwanamke?
Hahaha.. usinikumbushe Kibosho Girls aisee. Unajua wale wadada walikua na tabia nzuri sana. Mkimaliza debate pale wanaweka viburudisho. Wengine wanacheza music wakiigiza kama wanaume,nakumbuka mmoja alijipaka masizi kidevuni. Last time nakumbuka waliimba music wa Boys II men.
Wengi wao tulikutana Mlimani pale,kuna wengi walikua wakisoma Sheria na mwalimu wao yule pia nilimwona Mlimani,i.e early 2000!