The best comedians ever in our country.

The best comedians ever in our country.

Hii ndio list ya wachekeshaji bora wa aina zote katika nchi yetu, yani kuanzia kwa waliofariki hadi waliopo hai. Kama kuna wengine ambao sijawaweka kwenye list basi naomba uwaorodheshe hapo chini ili kuutambua mchango wao na vipaji vyao katika taifa letu.

1. Mzee Athumani Athumani (King Majuto) RIP.
2. Kingwendu kingwendulile (huyu nimesahau majina yake halisi).
3. Mzee Jangala (wale wa miaka 80s to 90s) nafikiri mnamuelewa huyu mzee.
4. Max (RIP)
5. Joti.
6. Pembe (RIP)
7. Bambo.
8. Senga.
9. Mtanga.
10. Mpoki.
11. Masanja.

Karibuni muongeze list wakuu..
Hii ndio list ya wachekeshaji bora wa aina zote katika nchi yetu, yani kuanzia kwa waliofariki hadi waliopo hai. Kama kuna wengine ambao sijawaweka kwenye list basi naomba uwaorodheshe hapo chini ili kuutambua mchango wao na vipaji vyao katika taifa letu.

1. Mzee Athumani Athumani (King Majuto) RIP.
2. Kingwendu kingwendulile (huyu nimesahau majina yake halisi).
3. Mzee Jangala (wale wa miaka 80s to 90s) nafikiri mnamuelewa huyu mzee.
4. Max (RIP)
5. Joti.
6. Pembe (RIP)
7. Bambo.
8. Senga.
9. Mtanga.
10. Mpoki.
11. Masanja.

Karibuni muongeze list wakuu...
Maneno kumi
Mjomba kazoa
Ringo
Mzome
 
Maneno kumi
Mjomba kazoa
Ringo
Mzome
Huyu maneno kumi hazingatiwi tu..ni Muongo sijapata sikia..huyu jama ana reflect kabisa tabia ya Kaka yangu aisee...😀😀😀
Bro anaweza kukupigia story ukaa ukawaza sana😀😀😀
 
Yule jamaa wa mizengwe mikausho mikali sana ,
Anachekesha sn ujuwe ila Hadi uwe makini sn AISEE.

Anachekesha halafu mikausho jamaa sijuwi anaitwa nani..
Mara nyingi anakuwaga mtata sn kwenye Kila mchezo..😀😀
 
Hii ndio list ya wachekeshaji bora wa aina zote katika nchi yetu, yani kuanzia kwa waliofariki hadi waliopo hai. Kama kuna wengine ambao sijawaweka kwenye list basi naomba uwaorodheshe hapo chini ili kuutambua mchango wao na vipaji vyao katika taifa letu.

1. Amri Athumani (King Majuto) RIP.
2. Kingwendu kingwendulile (huyu nimesahau majina yake halisi).
3. Mzee Jangala (wale wa miaka 80s to 90s) nafikiri mnamuelewa huyu mzee.
4. Max (RIP)
5. Joti.
6. Pembe (RIP)
7. Bambo.
8. Senga.
9. Mtanga.
10. Mpoki.
11. Masanja.

Karibuni muongeze list wakuu...
Vipi kuhusu marehem Janguo?
 
Wa kunichekesha mimi hapo ni joti, masanja. Mpoki.

Hao wengine ukongwe tu ila hawana ukomedi wowote.
 
Hii ndio list ya wachekeshaji bora wa aina zote katika nchi yetu, yani kuanzia kwa waliofariki hadi waliopo hai. Kama kuna wengine ambao sijawaweka kwenye list basi naomba uwaorodheshe hapo chini ili kuutambua mchango wao na vipaji vyao katika taifa letu.

1. Amri Athumani (King Majuto) RIP.
2. Kingwendu kingwendulile (huyu nimesahau majina yake halisi).
3. Mzee Jangala (wale wa miaka 80s to 90s) nafikiri mnamuelewa huyu mzee.
4. Max (RIP)
5. Joti.
6. Pembe (RIP)
7. Bambo.
8. Senga.
9. Mtanga.
10. Mpoki.
11. Masanja.

Karibuni muongeze list wakuu...
Kuna jamaa anaitwa Masantula huwa namkubali sana yule
 
Kuwachekesha watanzania kwa sasa ni jambo lisilowezekana. Hao wazee bora watafute kazi ya maana, muda unasonga
ama kweli watanzanear mna stress... hapo wengine washakufa lakini wanaambiwa watafute kazi nyingine..😭😭😭
 
Back
Top Bottom