The best comedians ever in our country.

The best comedians ever in our country.

Hii ndio list ya wachekeshaji bora wa aina zote katika nchi yetu, yani kuanzia kwa waliofariki hadi waliopo hai. Kama kuna wengine ambao sijawaweka kwenye list basi naomba uwaorodheshe hapo chini ili kuutambua mchango wao na vipaji vyao katika taifa letu.

1. Mzee Athumani Athumani (King Majuto) RIP.
2. Kingwendu kingwendulile (huyu nimesahau majina yake halisi).
3. Mzee Jangala (wale wa miaka 80s to 90s) nafikiri mnamuelewa huyu mzee.
4. Max (RIP)
5. Joti.
6. Pembe (RIP)
7. Bambo.
8. Senga.
9. Mtanga.
10. Mpoki.
11. Masanja.

Karibuni muongeze list wakuu...
GOAT 🐐 NI MAREHEMU MAX enzi izo hakuna script ni kupewa title na ku freestyle.

Unajua MAX na ZEMBWELA enzi izo ndio waasisi wa MIZENGWE ambayo mpaka Sasa inaruka ITV.

MAX alikua born comedian yaan ni talent utavunjika mbavu na vituko vyake..

UNAJUA MAX NA ZEMBWELA NDIO COMEDIAN PEKEE WALIO KUA WANATEMBEA NA FIESHA ENZI IZO..

MAX Ina semwa alikufa kwa ukimwi maana usupastaa ulimkaa na alikuaga bonge la HANDSOME BOY piga Sana machine warembo.

Nyumbani kwetu..ardhi ya nyumbani Kuna Kanda (tape) 📼 za VHS nilirekodigi enzi izo maigizo YAPO ITV yaan utacheka ufee

Of course Mimi na jicho la kugundua vipaji mbali mbali na Mimi huwaga Kama VAR nimalize kwa kusema max alikua mtu mbadi.. MAX alikua mtu na nusu kwenye UCHEKESHAJI

img_1_1742567654845.jpg
 
Hii ndio list ya wachekeshaji bora wa aina zote katika nchi yetu, yani kuanzia kwa waliofariki hadi waliopo hai. Kama kuna wengine ambao sijawaweka kwenye list basi naomba uwaorodheshe hapo chini ili kuutambua mchango wao na vipaji vyao katika taifa letu.

1. Mzee Athumani Athumani (King Majuto) RIP.
2. Kingwendu kingwendulile (huyu nimesahau majina yake halisi).
3. Mzee Jangala (wale wa miaka 80s to 90s) nafikiri mnamuelewa huyu mzee.
4. Max (RIP)
5. Joti.
6. Pembe (RIP)
7. Bambo.
8. Senga.
9. Mtanga.
10. Mpoki.
11. Masanja.

Karibuni muongeze list wakuu...
List iko vizuri sema ndio hivyo jamaa wanapotea polepole baada ya sanaa kuharibiwa na kuvamiwa na wasanii wa tiktok/Instagram.
Yaani mtu akifanya kitu cha kipumbavu kama kuchukua ndoo ya maji na kwenda kuoga barabarani au akijirekodi amechuchumaa anakojoa kesho naye anatrend na kuwa msanii.
Ila kwa wachekeshaji wapya wa kizazi hiki namkubali steve mweusi na ndaro wako vizuri na hawaishiwi contents.
 
GOAT 🐐 NI MAREHEMU MAX enzi izo hakuna script ni kupewa title na ku freestyle.

Unajua MAX na ZEMBWELA enzi izo ndio waasisi wa MIZENGWE ambayo mpaka Sasa inaruka ITV.

MAX alikua born comedian yaan ni talent utavunjika mbavu na vituko vyake..

UNAJUA MAX NA ZEMBWELA NDIO COMEDIAN PEKEE WALIO KUA WANATEMBEA NA FIESHA ENZI IZO..

MAX Ina semwa alikufa kwa ukimwi maana usupastaa ulimkaa na alikuaga bonge la HANDSOME BOY piga Sana machine warembo.

Nyumbani kwetu..ardhi ya nyumbani Kuna Kanda (tape) 📼 za VHS nilirekodigi enzi izo maigizo YAPO ITV yaan utacheka ufee

Of course Mimi na jicho la kugundua vipaji mbali mbali na Mimi huwaga Kama VAR nimalize kwa kusema max alikua mtu mbadi.. MAX alikua mtu na nusu kwenye UCHEKESHAJI

View attachment 3278866
Halafu Leo unakuta AY ni chawa
 
Kuwachekesha watanzania kwa sasa ni jambo lisilowezekana. Hao wazee bora watafute kazi ya maana, muda unasonga
Inategemea na mchekeshaji mwenyewe ni nani na wa aina gani mkuu.
 
GOAT NI MAREHEMU MAX enzi izo hakuna script ni kupewa title na ku freestyle.

Unajua MAX na ZEMBWELA enzi izo ndio waasisi wa MIZENGWE ambayo mpaka Sasa inaruka ITV.

MAX alikua born comedian yaan ni talent utavunjika mbavu na vituko vyake..

UNAJUA MAX NA ZEMBWELA NDIO COMEDIAN PEKEE WALIO KUA WANATEMBEA NA FIESHA ENZI IZO..

MAX Ina semwa alikufa kwa ukimwi maana usupastaa ulimkaa na alikuaga bonge la HANDSOME BOY piga Sana machine warembo.

Nyumbani kwetu..ardhi ya nyumbani Kuna Kanda (tape) za VHS nilirekodigi enzi izo maigizo YAPO ITV yaan utacheka ufee

Of course Mimi na jicho la kugundua vipaji mbali mbali na Mimi huwaga Kama VAR nimalize kwa kusema max alikua mtu mbadi.. MAX alikua mtu na nusu kwenye UCHEKESHAJI

View attachment 3278866
Max alikua hatari sana

Kuna siku nikajaribu kuchek u-tube kama nitakuta yale maigizo yao sikuona kitu

Mkuu Nakuonea tamaa na hyo vhs
 
Back
Top Bottom