The best African President John Pombe Magufuli

The best African President John Pombe Magufuli

Fahami Matsawili

Senior Member
Joined
Mar 8, 2018
Posts
172
Reaction score
153
Namna watu wema huko Duniani wanavyotamani Rais wetu Mhe John Pombe Magufuli angekuwa Rais wao katika nchi zao. Cha ajabu hapa nyumbani wapo Watanzania wenzetu hawatambui hilo.

Hii ndio kusema Nabii hathaminiki nyumbani kwao lakini duniani na Afrika inamuhitaji sana Rais John Pombe Magufuli kuliko Watanzania wachache wasiojielewa.
IMG_20200518_061431_126.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo screenshots ni ujinga tu! Eti fake pandemic. Are people not dying?

Fahami, jitahidi bado kuna pockets of appointments! Usijiangalie wwe na tumbo lako, angalia wanaokuzunguka Nyakibimbili wakoje! Angalia majirani zako Dar wakoje, etc etc! Watu wanakufa sana, vifo hivi kama kungelikuwa na measures as stipulated by WHO, the number could have been less!

Maiti za coco beach unazikumbuka, Ben unamkumbuka, Mawazo unamkumbuka, Wanaobambikiwa kesi unawafahamu?..... acha utoto wa mawazo finyu! Waangalie na wenzako waliopotea, wanaoteseka etc
 
Because of six comments he is already best president in africa?
What about african presidents who their countries won a battle against corona virus. Arent them the best?

No disrespect he may be good for us but it doesnt make him the best in africa.
 
Kwa hiyo akisifiwa na Mabeberu anakuwa the Best?

Ila akiambiwa ukweli Wanakuwa Mabeberu wanatuhujumu
 
Watu mmezidisha sifia sifia, alafu cha kushangaza wote ni masikini na vilaza.
 
Uzuri wa kiatu anaujua aliyekivaa,

Yaaani tuamini kwamba ni mzuri kwa sababu tu,ya hivyo vicoment vya mtandaoni!?

Chema cha jiuza,kibaya cha jitembeza.

Katika maraisi wa TZ,huyu wa sasa,ndie anayesifiwa kwa nguvu zote,ukimpinga,unatumbuliwa,TBC,imejaa misifa mwanzo mwisho,mnatumia nguvu na muda mwingi kueleza alichofsnya.

Nakubali,amefanya vzr kwenye utumishi wa umma,nidhamu imerudi,lakini hakuna mfumo wa kuhakikisha inadumu akitoka,
Kwenye korosho,ameburunda big time.

Uhuru wa kujieleza,hakuna,kesi za kuhujumu uchumi,ni fimbo ya kunyamazisha wakosoaji wake.

My best president,ni Mkapa,aliweka mfumo mzuri wa kukusanya mapato TRA,mpaka leo,upo vzr.

Huyu wa sasa,tangu ameingia,amevuruga sekta binafsi,kwa kuwaita wapiga deals,

Wapiga deal,wapo serikalini,waliokula EPA,Richmond,Melemeta,uuzaji wa nyumba za serikali(aliusimamia vzr).
Maisha yamekuwa magumu tangu 2015,anachoweza ni uteuzi tu
 
Raisi wako anashangilia waumini waliojazana kanisani kutovaa barakoa kipindi hiki hatari cha ugonjwa wa Korona, bado unamuona ni best president?

Labda kama unatafuta teuzi kwa kusifu kwa kuimba mapambio, Lakini thread yako haina substance
 
Hao madrug addicts unaotuletea hapa kwa sababu tu ni ngozi nyeupe kakomenti wanajua kuwa kwenye hospital zetu za mikoani kuna mashine ya ventilator moja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Best president for which wonders, hizo screenshot zinazotengenezwa na MATAGA?
Mbona British na USA wanakimbia nchi?
Mtaani watu wanakufa, kuficha takwimu za watu wanaokufa kwa Corona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namna watu wema huko Duniani wanavyotamani Rais wetu Mhe John Pombe Magufuli angekuwa Rais wao katika nchi zao. Cha ajabu hapa nyumbani wapo Watanzania wenzetu hawatambui hilo.

Hii ndio kusema Nabii hathaminiki nyumbani kwao lakini duniani na Afrika inamuhitaji sana Rais John Pombe Magufuli kuliko Watanzania wachache wasiojielewa.View attachment 1453061

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanamaoni tofauti kuhusu namna Magufuli anavyoongoza, wapo wanaoona anafanya vizuri lakini pia tupo tunaoona anatupeleka chaka. Hivyo wewe kuja na hoja ya jumla kwamba huyu ndo the best african president si sawa na inashangaza kuona mtu wa kariba yako anakuja na conclusion ya aina hii. Too shame!

Umempima na kumlinganisha na nani? umetumia vigezo gani? Hivi ni wewe Fahami kweli uliyekuwa unachambua hoja vizuri kule ITV? Ni nini kimekukumba hata umekuwa usiye na hoja tena?
 
Namna watu wema huko Duniani wanavyotamani Rais wetu Mhe John Pombe Magufuli angekuwa Rais wao katika nchi zao. Cha ajabu hapa nyumbani wapo Watanzania wenzetu hawatambui hilo.

Hii ndio kusema Nabii hathaminiki nyumbani kwao lakini duniani na Afrika inamuhitaji sana Rais John Pombe Magufuli kuliko Watanzania wachache wasiojielewa.View attachment 1453061

Sent using Jamii Forums mobile app
MCHA MUNGU, katika Yote Magufuli anamwamini Yesu, na ameokoka sema tu yupo kwenye dini yake ya misri
 
Back
Top Bottom