The beauty and the ugly.

Hivi Gaijin umenihama mara hii. Tulianza vyema alipokuja tuu TF ukanikimbia
Mbaya sana hapo

Gaijin like all women na yeye yupo curious..
whats the deal with jf ladies na TF....
so na yeye 'yupo kwenye research' lol
usimlaumu after all she is a woman too..lol
 
QUOTE=The Boss;2763724]wewe ni no 2 now kwenye research ya
vidume vya jf.most desired by ladies...baada ya TF
hiyo research bado haijawa published...but nimeiona..ulikuwa hujui....

Hili balaa sasa maana ninavyojua mimi ni TF na the Boss na then Mbu na NN na then Babu then wengine huko tunashikila mkia[/QUOTE]
Nick unataka kusema Gaijin alikuzimikia?
 
Duh itabidi nikubembeleze bana unikubalie kuwa na urafiki wa kuendelea
Maana naona TF anajipendekeza kwako

Usihangaike, sina historia ya kubembelezwa nikabembelezeka.

Wewe hangaika na wengine tu :]

TF hajipendekezi kwangu usihofu......ananijua fika.
 
Hili balaa sasa maana ninavyojua mimi ni TF na the Boss na then Mbu na NN na then Babu then wengine huko tunashikila mkia

list huenda ikabadilika
ukibadili avatar au ku post kitu interesting..inabadilika..
now wewe ni no 2...[/QUOTE]

Duh haya mkuu
Ila avatar hii itachukua muda kubadilika maana ina mambo mengi sana ambayo naendana nayo kama msimamo usioyumba na kutopenda kusikiliza maneno ya mtaani
 
Gaijin like all women na yeye yupo curious..
whats the deal with jf ladies na TF....
so na yeye 'yupo kwenye research' lol
usimlaumu after all she is a woman too..lol

Boss yeah she is a woman and curious too
But am not in a race to do anything just do what I can to impress her
 
Hili balaa sasa maana ninavyojua mimi ni TF na the Boss na then Mbu na NN na then Babu then wengine huko tunashikila mkia
Nick unataka kusema Gaijin alikuzimikia?[/QUOTE]

TF sijasema hayo
Wewe ndo umesema
Tulienda sambamba kwenye hii siredi ghafla ulipokuja akanihama
 
Usihangaike, sina historia ya kubembelezwa nikabembelezeka.

Wewe hangaika na wengine tu :]

TF hajipendekezi kwangu usihofu......ananijua fika.
Hivi yale ya The Boss na majivu yaliishia wapi...lol au Boss aliamua kufanya confessions
 
Back
Top Bottom