The BBI Decision, hukumu na hatma ya mswada wa BBI kutolewa leo hii na Mahakama ya Rufaa

pingli-nywee

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
11,923
13,344
Baada ya mswada wa Constitutional Ammendment Bill 2020(BBI) kutupiliwa mbali na bench ya majaji watano, wa Mahakama Kuu. Kisa shughuli yenyewe ya kutayarisha mswada wa kurekebisha katiba haikuendeshwa kulingana na kanuni zinazofaa kisheria chini ya katiba ya Kenya 2010. Hatimaye rais Uhuru na serikali yake, Rt. Hon. Raila Odinga na 'other interested parties' wamepata siku yao mbele ya mahakama baada ya kukata rufaa.

Yanayojiri live ndani ya Mahakama ya Rufaa, jijini Nairobi;

Historia kidogo kuhusu BBI, mswada wenyewe na yaliyojiri hadi Mahakama Kuu ilipotoa hukumu yake mwezi uliopita; Kenya: All Eyes On Appeals Court As Judges Set to Rule On BBI

Hakuna kesi nyingine ambayo imeibua hisia nyingi na ambayo itaendelea kuibua hisia nyingi zaidi, hata baada ya hukumu, tangia mahakama ibatilishe uchaguzi wa urais mwaka wa 2017.
Yetu macho tukifatilia kesi hii kwa umakini, nawarai wakenya wote wakubali hukumu na maamuzi yatakayotolewa na mahakama.

This is a good day for democracy in Kenya, as it was intended through the spirit of the rule of law and the Constitution of Kenya 2010. VIVA KENYA!!!
 
So far 1- 1..,
Raila amesema tayari kwamba wakiangukia pua tena kwenye rufaa hatafika kwenye Supreme Court. Ataelekeza nguvu zake kwenye shughuli za kujiandaa kwa uchaguzi ujao.
Raila: We shall not go to Supreme Court over BBI

Sioni afueni yeyote kwa mchakato wa BBI. Maanake hata wakinusurika, kibahati bahati, na washinde kwenye rufaa yao leo hii, kufikia hapa hakuna muda wa kufanya kura ya maamuzi. Labda baada ya uchaguzi mkuu, chini ya usimamizi wa serikali ijayo.
 
Raila amesema tayari kwamba wakiangukia pua tena kwenye rufaa hatafika kwenye Supreme Court. Ataelekeza nguvu zake kwenye shughuli za kujiandaa kwa uchaguzi ujao.
Raila: We shall not go to Supreme Court over BBI

Sioni afueni yeyote kwa mchakato wa BBI. Maanake hata wakinusurika, kibahati bahati, na washinde kwenye rufaa yao leo hii, kufikia hapa hakuna muda wa kufanya kura ya maamuzi. Labda baada ya uchaguzi mkuu, chini ya usimamizi wa serikali ijayo.
The better.,
 
Raila amesema tayari kwamba wakiangukia pua tena kwenye rufaa hatafika kwenye Supreme Court. Ataelekeza nguvu zake kwenye shughuli za kujiandaa kwa uchaguzi ujao.
Raila: We shall not go to Supreme Court over BBI

Sioni afueni yeyote kwa mchakato wa BBI. Maanake hata wakinusurika, kibahati bahati, na washinde kwenye rufaa yao leo hii, kufikia hapa hakuna muda wa kufanya kura ya maamuzi. Labda baada ya uchaguzi mkuu, chini ya usimamizi wa serikali ijayo.
...views from raiya, sioni iki survive a referendum even if the court of appeal saves it, the public are likely to shoot it down resoundingly..,
 
They are talking too much., why cant they just give an abstract.., a summary of key points.
Well, even the mode of issuance of rulings is governed by the court's rules of conduct. For the judges sitting on the panel and any other party overseeing the case. The appellate judges' line of thought and decisions, in reaching their verdict, which include case laws, citations etc and/or even chapters from the holy books, must be explained in detail. :D
Especially in a case like this which has not been declared urgent and time sensitive.

This is not just for the benefit of all parties adjoined in the case. Any diversions or shortcuts might be grounds for the entire case and verdict to be declared irrelevant or unconstitutional by another higher court in the future. Be patient man, the law is one unforgetfull and vengefull B.i.t.c.h and I love her. Hahaa! :D
 
Well, even the mode of issuance of rulings is governed by the court's rules of conduct. For the judges sitting on the panel and any other party overseeing the case. The appellate judges' line of thought and decisions, in reaching their verdict, which include case laws, citations etc and/or even chapters from the holy books, must be explained in detail. :D
Especially in a case like this which has not been declared urgent and time sensitive.

This is not just for the benefit of all parties adjoined in the case. Any diversions or shortcuts might be grounds for the entire case and verdict to be declared irrelevant or unconstitutional by another higher court in the future. Be patient man, the law is one unforgetfull and vengefull B.i.t.c.h and I love her. Hahaa! :D
I get it sir., brains at work.
 
Hawa majaji naona wanampa Ruto ushindi

Niko na wasi wasi hapa

Nasikia bado majaji wa4 ngoma iishe

So far watatu....wawili kwa Ruto mmoja kwa Raila

Huyu jamaa Kiage is a problem aisee...kawagaragaza appelants kama hana akili nzuri vile.

So far we have huyu mama Sichale....hawa waliobaki inatakiwa wote wakubali

I'm for Baba + Uhuru!

Wakipiga chini BBI,sio tatizo,uchaguzi wa 2022 fujo zikitokea lawama zote zitaenda kwa hawa majaji maana BBI ilikua inajaribu kutatua issue ya ugomvi wa chaguzi
Jombaa, mirengo ya kisiasa haizingatiwi linapokuja kwenye suala la BBI na uhalali wake kikatiba. Tena wengi ambao wanaiona ya faida ndio wanaipinga sana kisheria mahakamani. Kisa kwamba shughuli yote kuanzia kutayarisha mswada hadi ilipofikia sasa hivi ilifanywa kibabe, bila kuzingatia kanuni ambazo zipo kisheria kwenye katiba.

Katiba na heshima yake kwanza, mambo ya vurugu za uchaguzi yanazo mbinu zake zingine nyingi za kuzishughulikia kisheria.
Ushindi wa BBI mahakamani sio ushindi wa uhakika kisiasa kwa rais Uhuru, Raila na wapambe wao. Hivyo hivyo kwa DP Ruto, iwapo BBI itabwagwa chini na mahakama.
Ndio maana 'panel' leo hii, kwenye mahakama ya rufaa, ni ya majaji saba(odd number) kama ilivyokuwa kwenye mahakama kuu na majaji wake watano.

Maanake maamuzi na hukumu ya mwisho itafikiwa kupitia kura, kwasababu kila jaji anayo discretion ya anavyoifanyia 'interpretation' katiba na sheria zinazohusu marekebisho yake.


Sio BBI ndio ipo chini ya darubuni, bali ni 'processes' na mbinu zilizotumiwa kwenye mchakato wote ikiwa ni pamoja na kuandaa mswada. Uamuzi na majadiliano kuhusu ubora au ubovu wa BBI sio jukumu la mahakama. Jukumu hilo ni la wanasheria kwenye mabunge yote mawili, wanaharakati, makundi ya kidini na sekta zingine, wachumi, wanabiashara pia. Pamoja na Wanjiku(mwananchi wa kawaida) kwenye debe la kupigia kura ya maamuzi(referendum).
 
Jombaa, mirengo ya kisiasa haizingatiwi linapokuja kwenye suala la BBI na uhalali wake kikatiba. Tena wengi ambao wanaiona ya faida ndio wanaipinga sana kisheria mahakamani. Kisa kwamba shughuli yote kuanzia kutayarisha mswada hadi ilipofikia sasa hivi ilifanywa kibabe, bila kuzingatia kanuni ambazo zipo kisheria kwenye katiba.

Katiba na heshima yake kwanza, mambo ya vurugu za uchaguzi yanazo mbinu zake zingine nyingi za kuzishughulikia kisheria.
Ushindi wa BBI mahakamani sio ushindi wa uhakika kisiasa kwa rais Uhuru, Raila na wapambe wao. Hivyo hivyo kwa DP Ruto, iwapo BBI itabwagwa chini na mahakama.
Ndio maana 'panel' leo hii, kwenye mahakama ya rufaa, ni ya majaji saba(odd number) kama ilivyokuwa kwenye mahakama kuu na majaji wake watano.

Maanake maamuzi na hukumu ya mwisho itafikiwa kupitia kura, kwasababu kila jaji anayo discretion ya anavyoifanyia 'interpretation' katiba na sheria zinazohusu marekebisho yake.


Sio BBI ndio ipo chini ya darubuni, bali ni 'processes' na mbinu zilizotumiwa kwenye mchakato wote ikiwa ni pamoja na kuandaa mswada. Uamuzi na majadiliano kuhusu ubora au ubovu wa BBI sio jukumu la mahakama. Jukumu hilo ni la wanasheria kwenye mabunge yote mawili, wanaharakati, makundi ya kidini na sekta zingine, wachumi, wanabiashara pia. Pamoja na Wanjiku(mwananchi wa kawaida) kwenye debe la kupigia kura ya maamuzi(referendum).
Sheria lazima ifwatwe kikamilifu.
 
FB_IMG_16294800909872907.jpg
 
Hawa majaji naona wanampa Ruto ushindi

Niko na wasi wasi hapa

Nasikia bado majaji wa4 ngoma iishe

So far watatu....wawili kwa Ruto mmoja kwa Raila

Huyu jamaa Kiage is a problem aisee...kawagaragaza appelants kama hana akili nzuri vile.

So far we have huyu mama Sichale....hawa waliobaki inatakiwa wote wakubali

I'm for Baba + Uhuru!

Wakipiga chini BBI,sio tatizo,uchaguzi wa 2022 fujo zikitokea lawama zote zitaenda kwa hawa majaji maana BBI ilikua inajaribu kutatua issue ya ugomvi wa chaguzi
Umekomaa sasa hujaweka motherf.ucker
umeongea point sana...
 
Sheria lazima ifwatwe kikamilifu.
What a victorious day for Kenya! The rule of law and democracy is the only way forward. Kwa mara nyingine ubora wa katiba yetu umejidhihirisha wazi, kupitia uhuru wa mihimili na taasisi zetu. Hawatothubutu tena kujaribu kuibaka Katiba ya Kenya 2010. Hii siku itazungumziwa sana kwenye vitabu vya historia. Bahati ni kwetu sie tuliobahatika kuyashuhudia yote tukiwa kwenye siti za mbele.
 
Kisa nini? Mliyasema haya haya mwaka wa 2013 na 2017 pia. Mkingoja kwa hamu mkono udondoke. Ila msichofahamu ni kwamba haya mnayoyashuhudia leo hii ndio yalinuiwa kuwa tiba ya tulipoteleza mwaka wa 2007/8.
2017 bila handshek ya Laila na Uhuru Kenya ilikuwa haitawaliki!
Mimi bado nawashangaa majaji kuitupilia mbali BBI!
 
Back
Top Bottom