ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,707
- 28,253
Nashangaa majaji hawaoni Kenya ikichomeka 2022?Washangzwa na nini ?
They don't see its comming
Nashangaa majaji hawaoni Kenya ikichomeka 2022?Washangzwa na nini ?
Wewe unaongea nini? Unadhani mahakama ya Kenya unatoa hukumu Kisiasa kama mahakama yenu? Mahakama y Kenya inatoa judgement kulingana na katiba ilivyosema.Nashangaa majaji hawaoni Kenya ikichomeka 2022?
They don't see its comming
Focus on bongolala authoritarian politics. Mambo ya democracy ni Greek kwenu.Nashangaa majaji hawaoni Kenya ikichomeka 2022?
They don't see its comming
Democrasia wapi nyie manyang'au...Focus on bongolala authoritarian politics. Mambo ya democracy ni Greek kwenu.
Tanzania wapinzani wapo jela makosa ya kubabikiwa tu, chaguzi iliopita watu wasionahatia waliwekwe jela na wengine kuwauwa kinyama! Kwani tanzania yenye amani na utulivu ya nyerere ipo wapi. Hapo Tz moto wa chini kwa chini unaendelea kuchochewa na serikali yako 😳!Kenya inakwenda kuchomeka/kuwaka moto 2022....
Handshek ndio nini na Laila ndio nani? Acha kukariri jombaa, unawaza kiujamaa ujamaa sana. Hoja yako ni sawa na kusema kwamba ni haki jaji kukupiga faini na kuagiza ucharazwe viboko. Kwenye hukumu ya kesi ulioiwasilisha mahakamani wewe mwenyewe. Baada ya jirani yako kuiba ng'ombe wako, wakati ni wazi kwamba sheria inaegemea upande wako. Kisa eti jaji ananuia kudumisha amani kwasababu jirani yako ni mbabe kupindukia. Huo ni upumbavu uliotukuka.2017 bila handshek ya Laila na Uhuru Kenya ilikuwa haitawaliki!
Mimi bado nawashangaa majaji kuitupilia mbali BBI!
Sasa hv unapiga kelele kwa kuwa amani ipoHandshek ndio nini na Laila ndio nani? Acha kukariri jombaa, unawaza kiujamaa ujamaa sana. Hoja yako ni sawa na kusema kwamba ni haki jaji kukupiga faini mahakamani, wakati wewe ndio umewasilisha kesi baada ya jirani yako kuiba ng'ombe wako. Kisa eti jaji ananuia kudumisha amani kwasababu jirani yako ni mbabe kupindukia.
Unaelewa chochote kuhusu haki na sheria? Hebu nieleze hoja tano tu zilizokuwa zinazungumziwa kwenye mswada wa BBI. Usione sifa kujiabisha bure. Mada za jukwaa hili zinakupita kushoto buda, acha ubabaishaji. Kwani ulitimuliwa kwenye lile jukwaa lenu pendwa la MMU?Sasa hv unapiga kelele kwa kuwa amani ipo