Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
kwani coffee maker hupunguza nguvu za kiume?? ama umenielewa vby?? mie nimejaribu kumtajia kifaa na kazi yake so ni wajibu wake kuchagua kinachomfaa ama anachokihitaji. hayo ya nguvu za kiume siyajui. manake awe navyo asiwe navyo kama hana hana tu.
Hey hey hey, cool down!
Usisuse jaribu tu kuelewa. Coffee maker - Coffee sio nzuri
Chips Kuku - sumu kwa afya ya mwanaume. Ni hicho tu nilimaanisha.
Hapo kwenye bold sio jibu sahihi. Upungufu wa nguvu za kiume huwa na sababu nyuma yake na kubwa ni saikolojia ikifuatiwa na lishe. Vyakula vingine havifai kwa ustawi wa mwanaume na humpunguza nguvu taratibu bila mwenyewe kujua.
Wanawake wengi hawajui hili, hudhania kumpikia kuku na chips mume ndio kumjali, lkn baada ya muda mwanamke huyo huyo anaanza kushusha shutuma kwa mwanaume kuwa anapafom chini ya kiwango, shutuma ambazo huongeza tatizo badala ya kupunguza. Nilimaanisha hivyo tu