The B1M ndio channel inayoheshimika zaidi kwenye youtube kuhusu mambo ya construction. Wamefeature the Kenyan standard gauge railway. Wenzetu reli yao iliyostahili kuanza kazi 2019 bado haijakamilika. Waturuki Mungu anawaona tu.
But I'll keep reminding you that, that's not chinese Gari moshi,right?Dah! Nzuri sana....
Halafu hamna viumbe wavumilivu kama Watz, yaani mpaka leo kuna SGR wanaisubiri kale kasafu ka Dar-Moro ambapo ilikua waanze kukatumia 2019, Mturuki hadi leo anachimba mahandaki.
Nafkiri wanataka wamalize phase ya Morogoro to singida ili ianze pamoja. Train ikitoka Dar inafika Hadi Singida, sio inatoka Dar inaishia Morogoro. It would make sense that way huku phase nyingine zikiwa zinaendelea taratibuDah! Nzuri sana....
Halafu hamna viumbe wavumilivu kama Watz, yaani mpaka leo kuna SGR wanaisubiri kale kasafu ka Dar-Moro ambapo ilikua waanze kukatumia 2019, Mturuki hadi leo anachimba mahandaki.
Hahaha. Hivyo ndivyo umeamua kujidanganya?Nafkiri wanataka wamalize phase ya Morogoro to singida ili ianze pamoja. Train ikitoka Dar inafika Hadi Singida, sio inatoka Dar inaishia Morogoro. It would make sense that way huku phase nyingine zikiwa zinaendelea taratibu
Nope, kwanini nasema hivyo, Ujenzi kati ya Dar to Morogoro ni zaidi ya Asilimia 92, na Morogoro to Singida ni zaidi ya Asilimia 60, unafkir hizo 8% za Dar to Morogoro wanashindwa kumaliza within a month?Hahaha. Hivyo ndivyo umeamua kujidanganya?
Singinda ndo kitongoji gani? Kuna abiria na mizigo kiasi gani Singinda ndio reli ya stima iishie hapoNafkiri wanataka wamalize phase ya Morogoro to singida ili ianze pamoja. Train ikitoka Dar inafika Hadi Singida, sio inatoka Dar inaishia Morogoro. It would make sense that way huku phase nyingine zikiwa zinaendelea taratibu
Give it time, watu wanazaana ifaidi vizazi vya hapo mbeleni.Singinda ndo kitongoji gani? Kuna abiria na mizigo kiasi gani Singinda ndio reli ya stima iishie hapo