Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,117
- 136,859
Leo huyajui madhaifu ya Amerika.???
Nikiyajua au nisipoyajua, that's neither here nor there. Hakuna mtu, kitu, nchi, jamii, au chochote kile kisicho na mapungufu.
Sawa sio ishu ya msingi lakini siumewaona jinsi walivyo hao wa Qatar airways, biashara matangazo.!!!
Yeah, biashara matangazo na ndo maana kwenye hiyo fleet ya Qatar Airways kuna madege ya Boeing, American made and American owned.
Kila sehemu kuna wadada warembo, hata kwa Nkurunzinza wanapatikana bana..
Sasa kama unalitambua hilo nongwa inatoka wapi?
Wewe ishu ikiwa ya many individuals inakuwa ni state matters, huwezi kutenganisha.
Hivi unajua Marekani kuna airlines ngapi wewe?
teh teh teh mimi nipendezwa na post ya Tokyo40 wala sina hiyana na jambo lolote.
Sasa yale ma pom pom yalikuwa ya nini uliponijibu kwa kuninukuu?