The 100

Dejane

JF-Expert Member
Jan 1, 2014
50,568
71,448
Alieangalia hii series asimulie visa vya mulee,,,humu kumejaa usalitiii ,mapenzi,,yaan ni vurugu tupu ,wenzetu wanajua kuigizaa
Nimeumia yule Lincoln kuuawa jamani,ningependa awe hadi mwisho wa hii movie ,,,,ina visa vya kusisimua mpaka rahaaa
Pia yule mdada clack hakati tamaa kaitendea haki hii moviee
Kuna mtu kaiona mpaka mwisho??
 
Alieangalia hii series asimulie visa vya mulee,,,humu kumejaa usalitiii ,mapenzi,,yaan ni vurugu tupu ,wenzetu wanajua kuigizaa
Nimeumia yule Lincoln kuuawa jamani,ningependa awe hadi mwisho wa hii movie ,,,,ina visa vya kusisimua mpaka rahaaa
Pia yule mdada clack hakati tamaa kaitendea haki hii moviee
Kuna mtu kaiona mpaka mwisho??
Series ipo season four sasa hivi, na inaendelea. Ni ngumu kidogo kusimulia maana imesogea mbali kidogo.
 
Yaan mi nimelia jana,,hivi anatumia jina insta hata nikamuonee
Alikuwa anapendana na octavia
rtghjk.PNG


Enjoy
 
Hii tabia ya kuto follow back hata mmoja sijui mlio mfata mnajisikiaje!
Kwani nini maana ya kumfollow mtu!
Mimi ninavyofahamu, unapomfollow mtu inamaana upo interested na post zake..!
Sasa sidhani kama ni lazima na yeye awe interested na wewe... of course sio lazima.

Lakini nadhani umesema hivyo kwa kuwa umeona jamaa ana "0" followings
Hiyo ni hulka ya mtu, na hao watu wapo in realistic, nadhani huwa hawatofautiani na wale watu ambao huwa wakiwa kwenye group la mazongezi wanataka wawe wanasikilizwa wao tu!
 
Kwani nini maana ya kumfollow mtu!
Mimi ninavyofahamu, unapomfollow mtu inamaana upo interested na post zake..!
Sasa sidhani kama ni lazima na yeye awe interested na wewe... of course sio lazima.

Lakini nadhani umesema hivyo kwa kuwa umeona jamaa ana "0" followings
Hiyo ni hulka ya mtu, na hao watu wapo in realistic, nadhani huwa hawatofautiani na wale watu ambao huwa wakiwa kwenye group la mazongezi wanataka wawe wanasikilizwa wao tu!
Kweli mkuu mi siwaelewi watu wasio kua na appreciation kwa watu wengine!

ameshindwa ata ku follow Director wa hiyo series?

Au akuna ata mmoja duniani anae mvutia kwa kazi zake?
 
Alieangalia hii series asimulie visa vya mulee,,,humu kumejaa usalitiii ,mapenzi,,yaan ni vurugu tupu ,wenzetu wanajua kuigizaa
Nimeumia yule Lincoln kuuawa jamani,ningependa awe hadi mwisho wa hii movie ,,,,ina visa vya kusisimua mpaka rahaaa
Pia yule mdada clack hakati tamaa kaitendea haki hii moviee
Kuna mtu kaiona mpaka mwisho??
Nimeanza kuangalia jana season 1 nimeipenda kalii sana 🔥
 
Alieangalia hii series asimulie visa vya mulee,,,humu kumejaa usalitiii ,mapenzi,,yaan ni vurugu tupu ,wenzetu wanajua kuigizaa
Nimeumia yule Lincoln kuuawa jamani,ningependa awe hadi mwisho wa hii movie ,,,,ina visa vya kusisimua mpaka rahaaa
Pia yule mdada clack hakati tamaa kaitendea haki hii moviee
Kuna mtu kaiona mpaka mwisho??
kuiona hadi mwisho ndio changamoto
 
Back
Top Bottom