Thanx God,nimechaguliwa UDSM !

mhh,dogo mpigamsuli..sua sio pakuchezea angalia usijeukaliwa kichwa mwaka wa kwanza........
 
no research no right 2 speak vyuo vyote tz vina mazuri na mabaya yake.afu chini ya tcu m2 aweza kwenda popote regardles 1 or 2.
 
makamuzi acha mawazo ya kingesengese mimi o-level i form 6 one ivii udsm wanatoa mambo ya ruraldvpt? kama sio sua !
 
nenda kapate ufaham na maarifa.usikimbie changamoto chuo ni zaidi ya kitabu utakuwa huru ila uckubali kuibiwa uhuru wako b a freeman 2 c thngs in u'r own point of view n make the decion.
 
Wakuu,nimeona jna langu kwenye list ya udsm,nimechaguliwa bachelor of arts in economics.

Karibu MLIMANI...jiandae kwa mchakamchaka... KARAMAGI..he he he he,balaaa uyo lecturer
 
makamuzi, sijui unataka nini, mimi ni noma nimesoma taboraboyz kichwa cha tanzania, alafu punguza bas kufuatilia watuuuu
 
udsm ndio kiboko,sua kwa mabwege yanayojidai kukomaa na kitabu kumbe ovyoooo!sua ni washamba watupu hakuna lolote,mtu na div 3 yake ya 17 anajigamba,ulinganishe na udsm,udsm ndio chuo pekee tz ambacho kina wahadhiri wenye uwezo na sifa kimataifa na siyo sua,saut,mzumbe,muccobs,imf,dit,teku wala aru,udsm ni chuo pekee tz,cheki sifa za wahadhiri wenyewe utapenda! Eti saut,ujinga ujinga!

achakutumia akili ya kuku kujadl mambo ya mcng,chuo chochote ni kupata kaz,watu wangap Wa ud wanafel interview
 
We kimeo bado unaakili matope unacompare vyuo kwajil we umepata tetesi za kwenda udsm? Nyie ndo wale mnaodisco mapeeema!punguza moto dogo.
 
Ninashukuru JAMIIFORUMS kwa kutoa uwanja wa kutoa maoni mbalimbali toka kwa watu mbalimbali wa kada tofauti kwa lengo la kujenga taifa moja lenye misingi ya kweli na yenye nguvu.Maoni yangu kwa wa Tanzania ni kuwa tutoe hoja zenye nguvu za kujenga Taifa letu na si vinginevyo. TUPO PAMOJA.
 
JAMANI watanzania what matters is what u put into your brain and how u do apply it in the real life and how you do apply it in solving the existing problems and not from which university u a from. and shortly is just your performance during studies and in life are what matters most OK guys!!!!!! stop your boasting about universities.
 
Back
Top Bottom