Leloo June
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 1,015
- 947
[emoji23][emoji23] namba inasomeka vizuri sana.Magufuli kafanya hata kumiliki TECNO ni 'achievement'
[emoji23][emoji23] namba inasomeka vizuri sana.Magufuli kafanya hata kumiliki TECNO ni 'achievement'
Duuh lilivyokuwa refu, ukiinama tu limekula kidevu.Leo nimefurahi sana baada ya kupata kifaa cha [HASHTAG]#TECNOPhantom6Plus[/HASHTAG] chenye camera 21#megapixels na 4GB #RM, kiukweli nakula burudani kisawasawa. Mfukoni inamilikiwa na mimi mwenyewe, chezea!
![]()
TECNO Phantom6 Plus suits My Pockets!
Sh.ngapi mkuu. Mimi nilikuwa na Haya masimu ya samsung shida sana. Yaani lilifreeze huku naona na machoLeo nimefurahi sana baada ya kupata kifaa cha [HASHTAG]#TECNOPhantom6Plus[/HASHTAG] chenye camera 21#megapixels na 4GB #RM, kiukweli nakula burudani kisawasawa. Mfukoni inamilikiwa na mimi mwenyewe, chezea!
![]()
TECNO Phantom6 Plus suits My Pockets!
Wacha nikupe hongera tu,maana nikikuuliza siku ukitembelea hii mashine yangu sijui itakuwaje....Nitakuwa nakutukana tu.Leo nimefurahi sana baada ya kupata kifaa cha [HASHTAG]#TECNOPhantom6Plus[/HASHTAG] chenye camera 21#megapixels na 4GB #RM, kiukweli nakula burudani kisawasawa. Mfukoni inamilikiwa na mimi mwenyewe, chezea!
![]()
TECNO Phantom6 Plus suits My Pockets!
Hahaaa! Weee, navaa68yuhj89jknDah!
Mkuu nimeingiwa na hali fulani fulani ivi baada ya kusoma hili
Hongera sana mkuu
Usitembee nayo usiku sasa wasije wakakupora ukavirudia vibatani
Hahaaa, weee, navaa pensi ya jinsi ndani halafu naiweka humo ndio naingia kwe daladala.Dah!
Mkuu nimeingiwa na hali fulani fulani ivi baada ya kusoma hili
Hongera sana mkuu
Usitembee nayo usiku sasa wasije wakakupora ukavirudia vibatani
Hahaaa, duh pole sana. E bwana hii mi nilijikamua kwa laki tano na tisini.Sh.ngapi mkuu. Mimi nilikuwa na Haya masimu ya samsung shida sana. Yaani lilifreeze huku naona na macho
chezea!
Duh, silitumii tena asante kwa kunielewesha!!!!!! Ni kama neno "Jamani" nalo ni la kike hili.Hili neno limekaa kijinsia ya kike, usipende kulitumia.
Duh, silitumii tena asante kwa kunielewesha!!!!!! Ni kama neno "Jamani" nalo ni la kike hili.
Tecno wamefanya kumilik sim yao ni achievement.Magufuli kafanya hata kumiliki TECNO ni 'achievement'
congrats, pesa yote ya kufungua geti imeishia hapo.Leo nimefurahi sana baada ya kupata kifaa cha [HASHTAG]#TECNOPhantom6Plus[/HASHTAG] chenye camera 21#megapixels na 4GB #RM, kiukweli nakula burudani kisawasawa. Mfukoni inamilikiwa na mimi mwenyewe, chezea!
![]()
TECNO Phantom6 Plus suits My Pockets!
[emoji23] [emoji23]Hili neno limekaa kijinsia ya kike, usipende kulitumia.
Hahaaa! Dah we acha tu, nimeona mwishowe nitapigwa risasi kwa kulinda mali za watu halafu simu za tachi naskia redioni tu. Potelea mbali ngoja na mimi nibofyebofye,,congrats, pesa yote ya kufungua geti imeishia hapo.
siyo vibatani tu bali akapata ugonjwa wa moyo......mana kuibiwa simu si kitu kidogo.Dah!
Mkuu nimeingiwa na hali fulani fulani ivi baada ya kusoma hili
Hongera sana mkuu
Usitembee nayo usiku sasa wasije wakakupora ukavirudia vibatani
kakusanya pesa mwaka mzima .Magufuli kafanya hata kumiliki TECNO ni 'achievement'
Hahaaa! Duh! Kumbe nilikuwa nakosa uhondo humu.Haya pika na pilau na pepsi baridii unogeshe.
Niko makini, nitakuwa naifangilia tu serikali, maana nikiikosoa watasema mi mchochezi. Sitaki shidaUtacheki asa utakavyotuma mapicha picha fb kuwa makini na haka kasheria kapya kamtandao