Thamani ya Yamoto band

Ya fella mwachie fella tatizo mnafananisha industry ya bongo na YA marekani infact bongo hakuna music industry bali manager anasimama kama label (lebo) so huwezi jua nyuma ya pazia anatumia kiasi gani mpk wale madogo watusue hivi ujajiuliza j-nature yuko wapi tambua said fela ana cha kuwaibia wale madogo maana walikwenda kwake mikono mitupu (from rags) leo hii mpk unawajua yamoto band ni sababu ya mkubwa na wanawe na huwezi jua alipowatoa wale madogo na wamewekeana makubaliano gani ndio maana unaambia fela hawezi kuwaibia wale madogo maana walienda kwake mikono mitupu anachofanya ni mgawanyo wa mapato maana yamoto band sio wale madogo tu kuna watu nyuma yake ebu jiulize ww unacho hata hicho kigari kama unacho mshukuru mungu halafu angalia watu wa kawaida kama aslay maisha yao kitaa... Watu kama nyinyi ndio mnaowajaza upepo watoto kama wale., muulize dogo janja anajua nini wanchofanya watu kama fela nyumba ya chege na temba unaweza kuidharau kumbe hata kibanda huna
 

Mpaka sasa Asley ameshajenga nyumba kwa pesa anazolipwa nyumba ambayo wazazi wake wanaishi
Nyumba wanazojengewa yamoto ni wazo lao wenyewe kutaka wajengewe nyumba eneo moja
 
Ni heri yao hata wakifulia wana uhakika wa pakulala, big up fella
 
Hiyo nyumba ya Temba mbona nzuri jamani, au kwavile sijakulia ushuani?
 
kweli avo vijana vikipewa hela watajenga nyumba.Fella nimulizi mzuri lets appreciate jamani. angalia dogo janja alivopotea alikosa mlezi
 
Naona sasa mnataka kuwagombanisha yamoto band na mkubwa fella
 
Watu wanasahau kama mziki ni biashara kama biashara nyingine na pia wapo wengi tunaowajua wanavipaji ila walipotea kwa kukosa management nzuri. Anachofanya fela hata kama sio kikubwa ila kinafaa kwa hao vijana
 
Pia usisahau kuna wasanii walishapotea na majina yao na nyimbo zao hata kibanda cha vyumba viwili hawana nadhani ndio maana labda fela anaamua kuwajengea nyumba kama zawadi na mishahara yao ipo palepale
 
Pia usisahau kuna wasanii walishapotea na majina yao na nyimbo zao hata kibanda cha vyumba viwili hawana nadhani ndio maana labda fela anaamua kuwajengea nyumba kama zawadi na mishahara yao ipo palepale

Watwambie yuko wapi Mr nice?
 

We jamaa inaonyesha ni mgumu kuelewa or unataka tukubali hoja yako! Hivi unajua hao vijana walikotoka mpaka hii leo ww unatakaka kujua thaman yao??? unajua investment aliyoweka Mkubwa Fela kwa hao vijana mpaka leo hii we unawaona??? by the way hiyo gari ni zawadi tu ya birthday si malipo ya kazi wanayofanya...angeweza kutoa hata TV hata kama Aslay anayo...hata hivyo umefuatilia kujua kama Aslay hana gari??:sad::confused2:
 
Mwanzoni walikuwa wanaitwa 'Mkubwa na wanawe'.

Baada ya smash hit single 'ya moto' ndo wakaanza kujulikana kama Ya moto band.

Ule wimbo wa 'Ya moto' ni mzuri sana.

Mwaka jana haukushinda tuzo yoyote ile.

Mwaka huu je?

Mbuzi, mambo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…