Thamani ya kitu chochote ipo kwa mwenye nacho na mwenye kukihitaji. Kwa Yanga ana thamani hiyo kiasi kwamba kumpoteza kwa pesa chini ya hapo ni hasara. Pia na watanzania tuna thamani ati kuna wachezaji wa nje thamani yao ni kubwa au ilikua kubwa lakini hawakuwahi au hawafanyikazi ya msuva.