Kama shimo hata wanaume mnalo ndio maana mnaoana.
Hivi jamani, thamani ya mwanamke ni nini? Au kwa lugha rahisi ni nini kinamfanya mwanamke awakonge nyoyo wanaume mpaka wawe tayari kumpata kwa gharama yoyote? Hebu imagine, mwanamke awe mzuri sana eg. sura nzuri, umbo namba 8, chuchu dodo, sauti laini, tabia nzuri, nk lakini asiwe na "MBUNYE" a.k.a k.ma! Ni wanaume wangapi watakomaa kumpata?
Thamani ya mwanamke ni mavazi,
Kula vizuri, kulala vizuri,....reference AMIGO song
Elimu ndiyo zawadi muhimu, utaishi kwa raha Amigo.....Watoto wako wapeleke shule kwa manufaa yao ya badae...umenikumbusha mbalii...
nahisi ipo katika ndoa..........katika matunzo ya familia/mumewe ...jinsi mumewe anavyopendeza na kuvaa vizuri na watoto pia.....ndio tunajiona tumefika,km ndoa haina thamani kwetu wadada mbona tunalilia tuolewe......hata sijui naandika nini :A S 39:
Mwanamke asiye na ndoa hana thamani?
sijui hilo,nachojua wadada wakifika age fulani bila ndoa hughafilika sana,thatsway nimefikiria ndoa ni kipimo fulani cha thamani
Walio na ndoa hawaghafiliki?
Tena hadi kufikia point ya kuachana?
Na umeangalia kwa binti aliye chini ya miaka 20 na hajaolewa, hana thamani?
Mie nadhani binadamu aliye ndani ya mwanamke ni thamani tosha kabisa.
Hivi jamani, thamani ya mwanamke ni nini? Au kwa lugha rahisi ni nini kinamfanya mwanamke awakonge nyoyo wanaume mpaka wawe tayari kumpata kwa gharama yoyote? Hebu imagine, mwanamke awe mzuri sana eg. sura nzuri, umbo namba 8, chuchu dodo, sauti laini, tabia nzuri, nk lakini asiwe na "MBUNYE" a.k.a k.ma! Ni wanaume wangapi watakomaa kumpata?
Ni hiyo kutu hapo chini ndio thamani ya mwanamke, asipokuwa na hiyo maneno atakuwa sio mwanamke tena ataitwa "mkosa-jinsia" au "Manless-Ladyless" Hatimae hakuna atakayekuwa na shughuli nae hata akikaa uchi barabarani. Tuache uongo katika hili,Ndio maana mtu akizaliwa anachunguliwa ndipo aitwe jina la kiume au la kike. Thankx.