Thamani ya mwanamke iko wapi?

Thamani ya mwanamke iko wapi?

Joined
Jan 30, 2014
Posts
34
Reaction score
1
wanawake wa siku hizi wanatia aibu ,matiti,kitovu nyinjenyinje,skirt ni transparent (------ yanaonekana,thamani iko wapi)
 
Ngoja nikasali kwanza....nikirejea nitatoa tamko naomba muwepo wote
 
'wanawake wa siku hz' nadhan hata we una ndg wa kike wa siku hz vp ulishawah kuwauliza hyo kitu? maana statement yako ni kama inajumuisha all women.
 
Ajira ngumu kwanini wasijiajiri na mitaji wamekalia na hvyo ndo wanavyofanya matangazo ya biashara zao lakini si wanawake wote bali wale waliopungukiwa kidogo kichwani.
 
Kuna siku utamezwa na cobra mwenye meno, wee jifanye huangalii

Ujasiri wa mwanamme unapimwa kwa kuitazama hiyo kitu bila kukapua hadi atokwe na chozi la hasira:israel:

hapo tu, ila sasa mi siwezi kuutizama...lol
 
Kuna siku utamezwa na cobra mwenye meno, wee jifanye huangalii

Ujasiri wa mwanamme unapimwa kwa kuitazama hiyo kitu bila kukapua hadi atokwe na chozi la hasira:israel:

hahahaaaa...
we mwanamke ni noumer
 
download (8).jpg
 
Back
Top Bottom