Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,846
- 16,738
Kondooo mkiaaa, si kichwa, rangi wala ukubwa, then nywele, ndio unaweza kuthaminisha kondoo, mkia hutingishika kila upande, huwaacha kondoo dume wakihangaika ucku na mchana, na mkia uliojazia sawasawa haujifichi, ila si kondoo BBW, mafuta ya mkia yaonje mwenyewe haifai kuambiwa, in other words kondoo bila mkia is worthless, halipi.