Thamani ya kondoooo ni .....mkiaaaaa....!!!! hutaki.!??

Jay One

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
16,846
16,738
Kondooo mkiaaa, si kichwa, rangi wala ukubwa, then nywele, ndio unaweza kuthaminisha kondoo, mkia hutingishika kila upande, huwaacha kondoo dume wakihangaika ucku na mchana, na mkia uliojazia sawasawa haujifichi, ila si kondoo BBW, mafuta ya mkia yaonje mwenyewe haifai kuambiwa, in other words kondoo bila mkia is worthless, halipi.
 
Kondooo mkiaaa, si kichwa, rangi wala ukubwa, then nywele, ndio unaweza kuthaminisha kondoo, mkia hutingishika kila upande, huwaacha kondoo dume wakihangaika ucku na mchana, na mkia ulijazia sawasawa haujifichi, ila si kondoo BBW, mafuta ya mkia yaonje mwenyewe haifai kuambiwa, in other words kondoo bila mkia is worthless, halipi.

Ya leo kali, Huyu nae anazungumzia "inye ndembendembe"
 
Kondooo mkiaaa, si kichwa, rangi wala ukubwa, then nywele, ndio unaweza kuthaminisha kondoo, mkia hutingishika kila upande, huwaacha kondoo dume wakihangaika ucku na mchana, na mkia uliojazia sawasawa haujifichi, ila si kondoo BBW, mafuta ya mkia yaonje mwenyewe haifai kuambiwa, in other words kondoo bila mkia is worthless, halipi.



....Mmmmh, Asante kwa kututaarifu.
 
nitapataje mkia wake aisee?

Huwezi pata dukani, buchani, hufundishwi, haina academic qualification, open wide ur eyes utaona mkia huoo unapita, in short badili line yako, Uckosee ukaondoka na mkia wa mbuzi ukalaumu, chukua kOndOOOOOO... nimekuwekea hizo O zote hujaelewaa..!?
 
Kondooo mkiaaa, si kichwa, rangi wala ukubwa, then nywele, ndio unaweza kuthaminisha kondoo, mkia hutingishika kila upande, huwaacha kondoo dume wakihangaika ucku na mchana, na mkia uliojazia sawasawa haujifichi, ila si kondoo BBW, mafuta ya mkia yaonje mwenyewe haifai kuambiwa, in other words kondoo bila mkia is worthless, halipi.

kumbe kondoo nae ana nywele....nilikuwa sijui
 
Yakuonea tembea ujionee...si bure kondoo wenye nywele wanapatikana makumbusho! Lakini kwa makabila yasiyo ya kifugaji sijui huyu Kondoo tumchukue wa kazi gani! Mr President mwongozo hapa!
 
horseshoe. Ina maana hao kondooo wenye nywele upatikanaji wake ni makumbusho tu au....
 
Limkia la nini? mm nataka viportable nyama ule na mfupa, mifuta kibao hata hutajua umeteleza au umefika mwisho.
WEMBAMBA WA RELI ....................................................................................................
 
PHP:
kumbe kondoo nae ana nywele....nilikuwa sijui
Hapa ndipo Yakuonea amemkamata Mr. President ya kuwa hili fumbo halina uhusiano na kondoo...........kwani kondoo hana nywele bali ana manyoya....sasa Mr. President kondoo wako huyu mwenye nywele na mkia yuko wapi?
 
Hivi hapa mnajadili mikia, kondoo, mafuta ama choo?:frusty::frusty:
 
Back
Top Bottom