Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Najua huwezi kuamini na alikuwa shori mkali kweli kweli.....kitu ambacho nilipomuuliza aliskuwa anaporomosha maflag kwa Yo Yo utafikiri anamjua.....naogopa kusema mengi alinijibu maana nahisi atakuwa anatembelea sana JF alipotoa design ya tatoo yake.....
hehehehe Yo Yo hii kamba kwa nini hukunitumia mpira huo?