Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,460
- 39,928
It has come to my attention.. jamaa fulani walikosa cha kufanya na kufuatilia magari mawili ambayo moja (fuso) limeandikwa "mzee mwanakijiji" na jingine daladala ambalo limeweka anuani ya tovuti ile nyingine. Sijui kiliwagusa nini kiasi cha kufikiria ninayamiliki na hivyo niko katika kampeni ya kujitangaza..
So kwa vile sina utajiri huo, naomba mwenye picha ya magari hayo (namba ninazo) ili na mimi nijione kuwa kumbe cheche kweli zimepamba moto.
NB: Mkiwaona muwasilimie tu.. similiki hata mojawapo msije mkawachomekea bure..
So kwa vile sina utajiri huo, naomba mwenye picha ya magari hayo (namba ninazo) ili na mimi nijione kuwa kumbe cheche kweli zimepamba moto.
NB: Mkiwaona muwasilimie tu.. similiki hata mojawapo msije mkawachomekea bure..