Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,760
- 40,970
Niko katika harakati za kulobby kamati fulani ya Bunge ili waweze kulidaka hili la Usalama wa Taifa na wakuu wa upepelezi n.k ili wajue wao walijua nini kuhusu wizi wa mabilioni, na walijua nini, na walifanya nini.
Mwenyekiti wa mojawapo ya hizo kamati baada ya kupokea Simu na kusabahiana akaniuliza;
"Nani mwenzangu bwana"
"Mwanakijijiji hapa, nazungumza toka Marekani Mheshimiwa" Nilisema kwa heshima zote na taadhima.
"Duh Mwanakijiji, wewe tunayekusoma huku?" Akaniuliza huku akiangua kicheko kidogo..
"Naam mzee, poleni na shughuli na kazi ya kulitumikisha Taifa letu (niliponyoka ulimi)" Nikamuambia huku nikifiria nilichokisemwa 'kwa bahati mbaya'
"Sasa Mwanakijiji nikusaidie nini? au nina kakashfa gani bwana, msijekuniandika nina "vijisenti"" Akasema huku akiuliza kama ananitega na akaangusha kicheko.
Nilishindwa kujizia na mimi nikaangusha kicheko.... mazungumzo yakaendelea.
I hope you laughed too...
Mwenyekiti wa mojawapo ya hizo kamati baada ya kupokea Simu na kusabahiana akaniuliza;
"Nani mwenzangu bwana"
"Mwanakijijiji hapa, nazungumza toka Marekani Mheshimiwa" Nilisema kwa heshima zote na taadhima.
"Duh Mwanakijiji, wewe tunayekusoma huku?" Akaniuliza huku akiangua kicheko kidogo..
"Naam mzee, poleni na shughuli na kazi ya kulitumikisha Taifa letu (niliponyoka ulimi)" Nikamuambia huku nikifiria nilichokisemwa 'kwa bahati mbaya'
"Sasa Mwanakijiji nikusaidie nini? au nina kakashfa gani bwana, msijekuniandika nina "vijisenti"" Akasema huku akiuliza kama ananitega na akaangusha kicheko.
Nilishindwa kujizia na mimi nikaangusha kicheko.... mazungumzo yakaendelea.
I hope you laughed too...