BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Shirikisho la Soka Tanzania TFF lakiri kudaiwa na waamuzi, lasema fedha inayohitajika kuwalipa waamuzi hao kwa msimu mmoja ni zaidi ya shilingi bilioni moja wakati fedha wanayoipata kutoka kwa wadhamini kwaajili ya malipo hayo ni takriban shilingi milioni 400
My take:
Nilijua kuna kitu nyuma ya pazia
Baada ya Rais kukana niliamka na post Je waamuzi wanalipwaa yanayoendelea haya......
Namshukuru Kidau kwa kuweka wazi jana kweli wanadai pesa ndefu tu. Mkumbuke nao n binadamu wanafamilia msifikiri wanayifanya wanataka na watoto waende choo kikubwa
Solution ishajulikana sasa TFF walipe madeni ya waamuzi
My take:
Nilijua kuna kitu nyuma ya pazia
Baada ya Rais kukana niliamka na post Je waamuzi wanalipwaa yanayoendelea haya......
Namshukuru Kidau kwa kuweka wazi jana kweli wanadai pesa ndefu tu. Mkumbuke nao n binadamu wanafamilia msifikiri wanayifanya wanataka na watoto waende choo kikubwa
Solution ishajulikana sasa TFF walipe madeni ya waamuzi