TFF yakiri kuwa Waamuzi wanadai pesa zao. Yasema wadhamini wanatoa pesa ndogo za malipo

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
Shirikisho la Soka Tanzania TFF lakiri kudaiwa na waamuzi, lasema fedha inayohitajika kuwalipa waamuzi hao kwa msimu mmoja ni zaidi ya shilingi bilioni moja wakati fedha wanayoipata kutoka kwa wadhamini kwaajili ya malipo hayo ni takriban shilingi milioni 400



My take:
Nilijua kuna kitu nyuma ya pazia

Baada ya Rais kukana niliamka na post Je waamuzi wanalipwaa yanayoendelea haya......

Namshukuru Kidau kwa kuweka wazi jana kweli wanadai pesa ndefu tu. Mkumbuke nao n binadamu wanafamilia msifikiri wanayifanya wanataka na watoto waende choo kikubwa

Solution ishajulikana sasa TFF walipe madeni ya waamuzi
 
Nilijua kuna KITU NYUMA ya pazia
Baadaaa yaaa MH RAISI kukanaa niliamka na post JE waamuzi wanalipwaa yanayoendelea HAYA......

Namshukuru Bw Kidau kwa KUWEKA WAZI Jana kweli wanadai PESA ndefu tu

Mkumbuke NAOO n binadamu wanafamiliaaa msifikiri wanayifanyaa wanatakaa n WATOTO WAENDE choo kikubwaaa

SOLN ishajulikana sasa TFF walipe madeni ya waamuzi
Sasa wanawalaumu wa nini kumbe wanajua kinachoendelea
 
Sasa wanawalaumu wa nini kumbe wanajua kinachoendelea
Yaani usipolipwa ndio ununuliwe na kuachia? Halafu ni timu au klabu moja tu iliyajua hayo na kuamua kuwafadhili happy marefa??
 
Screenshot_20200209-142839.png
 
UTOI MATUNZO KWA MKEO UNAPIGAJE KELELE UMETOM......A
TULIA SINDANO IINGIEE
 
Back
Top Bottom