Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Katika hali ya kustaajabisha na ambayo mwenyekiti wa tff tenga anaendeelea
kuiendekeza kwa kugaiwa kamgao cha kipumbavu ile mechi ya simba na yanga ya ngao
ambayo walisema asilimia 10 inakwenda kwa mfuko wa mewata
mewata wameibuka jana na cheki ya million kumi na kusema wanaomba msaada kwa watanzania
walioamua kuingia kwa nia njema kuchangia mfuko wao na sasa kundi la matapeli wachache
wakiongozwa na tenga wameamiua kukaa na hela zao
haabri zaidi zinasema mewata wamemfwatan mh tenga na bila aibu akasema jamani mnaiche kabisa
sijui hilo swala..mewata wamesema leodgar tenga akawaambia waende kwa boniface ambae
nae akawaambia no comments akaondoka akawaacha offisi
watanzania hizi mechi za simba na yanga tuanze kuzikana kabisa aiwezekani tunawavumbisha washenzi wachache
matumbo yao hii imetosha....tutauuzuria tu mechi oljoro na jkt polisi
kuiendekeza kwa kugaiwa kamgao cha kipumbavu ile mechi ya simba na yanga ya ngao
ambayo walisema asilimia 10 inakwenda kwa mfuko wa mewata
mewata wameibuka jana na cheki ya million kumi na kusema wanaomba msaada kwa watanzania
walioamua kuingia kwa nia njema kuchangia mfuko wao na sasa kundi la matapeli wachache
wakiongozwa na tenga wameamiua kukaa na hela zao
haabri zaidi zinasema mewata wamemfwatan mh tenga na bila aibu akasema jamani mnaiche kabisa
sijui hilo swala..mewata wamesema leodgar tenga akawaambia waende kwa boniface ambae
nae akawaambia no comments akaondoka akawaacha offisi
watanzania hizi mechi za simba na yanga tuanze kuzikana kabisa aiwezekani tunawavumbisha washenzi wachache
matumbo yao hii imetosha....tutauuzuria tu mechi oljoro na jkt polisi