Tff wawatapeli mewata million 20

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Katika hali ya kustaajabisha na ambayo mwenyekiti wa tff tenga anaendeelea
kuiendekeza kwa kugaiwa kamgao cha kipumbavu ile mechi ya simba na yanga ya ngao
ambayo walisema asilimia 10 inakwenda kwa mfuko wa mewata

mewata wameibuka jana na cheki ya million kumi na kusema wanaomba msaada kwa watanzania
walioamua kuingia kwa nia njema kuchangia mfuko wao na sasa kundi la matapeli wachache
wakiongozwa na tenga wameamiua kukaa na hela zao

haabri zaidi zinasema mewata wamemfwatan mh tenga na bila aibu akasema jamani mnaiche kabisa
sijui hilo swala..mewata wamesema leodgar tenga akawaambia waende kwa boniface ambae
nae akawaambia no comments akaondoka akawaacha offisi

watanzania hizi mechi za simba na yanga tuanze kuzikana kabisa aiwezekani tunawavumbisha washenzi wachache
matumbo yao hii imetosha....tutauuzuria tu mechi oljoro na jkt polisi
 
Habarri zaidi zinasema mewata wameepeleka malalamiko kwa waziiiri husika kwa kudai million 30 kama walivyotangaza wamepata million 300 so asilimia 10 ni million 30..wakati wakiongea hayo mmoja wa ma dk wa kike aliekwenda kutaka kujua zaidi alisema aliitwa na angetile mmoja wa viongozi wa tff na kutaka kumpa 10million nyingine na kuhakikishiwa awatopiga kelele tena huku akiingiziwa million 2 kwenye acc yake hata hivyo dada huuyo amesema alishaapa kutowadhulumu watanzania tangu anaanza kuota udk na kuomba kama anaweza awape cheki ya million 12 then waandikiane 8 ataitoa lini

mwenye akili unaweza jua kama angetile amesema hivyo means million 8 nzima ziko kwenye mashamba ya watu (matumbo) zikirutubishwa shame tff

wapi viongozi wa timu jamani tunaitaji kampuni tumechokwa kuongozwa na genge la wahuni lakina tenga \walianza ndolanga tumewasahau sasa hawa wamejibadilisha jina wanajiita mafisadi wa soka tuwakimbize walahi kama mngeweza wangebadilishwa tangu duru ya pili..awakutakiwa kuendelea na duru ya pili kabisa weziiiiiiii wakubwaaaaaaaaaa
pumbavuuuuuuuu zaooooooooooawajuiiiiiii wanwaibia wale maskini wagonjwa waliotakiwa kupewa msaadaaaa na nyie mewata

mbona amtuonyeshi mchanganuo yenuuuuuuu kila sikuuuuuuuuuuuuuu mnapokeaa mnapokeaaaa tuuuuuuuuuuu elezeni mefanya anini mmeiba ngapi ngapi zimeingia matumboni ngapi zimeenda kwa wagonjwa ngapi zimebaki kwa emrgencyyyy sio mnapiga keleleeeeeeeee tu watanzania tunataka uwazi wizi na ukweliiiiiiiii
 
la pili SIJASOMEA UANDISHI WA HABARI MPWA
 
Back
Top Bottom