Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 16,270
- 2,000
Chuki itakuua. Mbona walipitisha fomu za kugombea tff hukujitokeza wewe unayejua kutag?mtarukaruka sana kama maharage yasiyoiva TFF HAWAJUI ACCOUNT YA TWITTER YA MDHAMINI MKUU WA LIGI ? hiyo nbc-tanzania wao wameitoa wapi wakati account halisi ni NBCTanzania?...