kocha Nabi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2022
- 590
- 1,467
Nimeamka tu nimekutana na hii kutoka mwananchi. Huyu ni dogo national team chini ya miaka 15, mashindano yamefanyika Uganda yameisha hivi karibuni. TFF wanadai wapo katika mchakato wa hundi. Vipi kuhusu mwaka jana kulipwa 50,000.
Hii imenikumbusha ndugu yangu alichaguliwa national team beach soccer. Kambi TFF Karume aliishia kula tu na kupanda basi la TFF. Yaliyobaki tumwachie Mungu